Bruce, Nuno, Lampard na Ole Kuwania Tuzo Ya Kocha Bora Mwezi Juni.

Makocha wanne ambao waliziongoza timu zao mnamo Juni kutofungwa wametajwa kuwania tuzo ya kocha bora wa mwezi wa Sita ndani ya Premier League.

Matokeo ya timu zao katika kipindi cha mwanzoni mwa mwezi Machi, kabla ya msimu wa Ligi kusimamishwa, pia yamezingatiwa… Makocha wanaowania tuzo hii ni

1. Steve Bruce (Newcastle United)

Bruce ana lengo la kupata tuzo hiyo baada ya kutofungwa mechi tatu alizo cheza tangu kurejea kwa ligi. alishinda 1-0 dhidi ya Southampton pia Alishinda dhidi ya Sheffield United 3-0 na alitoa sare ya 1-1 dhidi ya Aston Villa.

🏟 Mechi 3
✔ Ushindi 2
🤝🏻 1
⚽ Magoli 5
🎯 Magoli ya Kufungwa 1

2. Nuno Espirito Santo (Wolves)

Kocha mkuu wa Wolverhampton alikuwa ameshinda mchezo wake na Tottenham 3-2 mwezi machi kabla ya kushinda mechi tatu mfululizo bila kuruhusu goli, na mechi moja walikwenda sare ya 0-0 pia kwa upande wake amefuzu kushiriki kombe la Europa League kwa mara ya pili mfululizo.

🏟 Mechi 5
✔ Ushindi 4
🤝🏻 1
⚽ Magoli 7
🎯 Magoli ya Kufungwa 2

3. Frank Lampard (Chelsea)

Kocha mkuu wa Chelsea  Frank Lampard hii ni mara ya pili kwa upande wake kuwania tuzo hizi ikiwa ndiyo msimu wake wa kwanza katika Premier League, ameshinda michezo yote mitatu kwa mwezi Juni pia ameendelea kulinda nafasi ya nne bora kwenye msimamo.

🏟 Mechi 3
✔ Ushindi 3
🤝🏻 0
❌ Kupoteza 0
⚽ Magoli 8
🎯 Magoli ya Kufungwa 2

4. Ole Gunnar Solskjaer (Manchester United)

Mnorwei ameleta tumaini katika klabu ya Manchester United  na wanaweza kumaliza katika nne bora kwa kuwafunga Manchester City mwezi machi kisha kuwafunga 3-0 Sheffield United, wakawapa pia 3-0 timu ya Brighton  baada ya ligi kurejea.

🏟 Mechi 5
✔ Ushindi 3
🤝🏻 2
⚽ Magoli 10
🎯 Magoli ya Kufungwa 2

48 Komentara

    Frank Lampard anastahili kabisa kuchukua kunzo hiyo

    Jibu

    Steve hana haki ya kupata tuzo hizo

    Jibu

    wote wanastahili ila siku zt mshindi ni mmoja

    Jibu

    Lampard anastahili tunzo hiyo kabisa

    Jibu

    Frank anasitahili kabisa iyo tunzo

    Jibu

    Frank lampard anastahili kabisa kupata tuzo hiyo.

    Jibu

    Lampard tuzo anastahii

    Jibu

    Lampard namkubali Sana tangu akiwa mchezaji yupo vizuri Sana anastahili tuzo

    Jibu

    Frank Lamperd anasitahili kuwa Kocha bora wa June#meridianbettz

    Jibu

    Nimchezaji mzuri#meridianbett

    Jibu

    Yuko vema, anastahiri tunzo

    Jibu

    Kuna kocha sijamwona hapo

    Jibu

    Ole guna ndo anastaili iyo tunzo

    Jibu

    Wako vzr ila sie tunasubiria huyo mshindi atakayeteuliwa

    Jibu

    Mm naona wote Wana stairi

    Jibu

    Nuno Anastail TUZO hiiiii

    Jibu

    Hongera sana kocha

    Jibu

    Frank anastahili tuzo#meridianbettz

    Jibu

    Frank lampard anastahili kabisa kupata tuzo hiyo.

    Jibu

    Lampard atashindaa

    Jibu

    Bruno & ole ndiyo wanastahili kuchukua tuzo hiyo#meridianbettz

    Jibu

    Kocha wa Wolves Nuno Espirito Santo anastahili tuzo ya kocha bora mwezi wa sita

    Jibu

    Lambard ana sifa zote za kuchukuwa Tuzo ya kocha bora .

    Jibu

    Atashinda Lampard

    Jibu

    Hapa Apewe Bruce Tu#Meridianbettz

    Jibu

    Axante kwa habar

    Jibu

    Maoni:wote wanastahili kuchukua kwa mitazamo ya kawaida lkn mmoja katiyao ndio atakae chukua hiyo tuzo ambaye atakua anavigezo vyote vya kuchukua tuzo hiyo

    Jibu

    Wote wanastahili tunzo hiyo ila mmoja ndio atachukua tuzo hiyo me na wwe hatujui yetu macho ngoja tuone

    Jibu

    Wote wanastahili ila mwisho wa siku mshindi mmoja

    Jibu

    Kila kocha kaiwakilisha vizuri lakini kwa rekodi za Nuno atweza kumtwaa tuzo hiyo

    Jibu

    Lampard yuko vizuri

    Jibu

    Ole guna wa man u lazima achukue.

    Jibu

    Habar njema sana 👍

    Jibu

    Lampard mshindii

    Jibu

    Lampard namkubali

    Jibu

    Naon tuzo ipo waz Kwa ole Kwa alichokifanya maan ni unbeaten Kwa michi 15

    Jibu

    Namuona Ole akichukua tuzo mwezi june

    Jibu

    Kila la heli kwao

    Jibu

    Lampard anastahill

    Jibu

    Wote wanastaili tuzo ya kocha bora lakini ngoja tuone kwnz Asante meridianbettz kwa taarifa

    Jibu

    Good

    Jibu

    Bruce anachukua tuzo namkubali Sana

    Jibu

    Wote wako vzr wanastahili ila kwa mm naona ole gunnar

    Jibu

    Ole Ndio kocha Bora hapo Yani hakina u ishi kabisaa

    Jibu

    Frenk lampard anastaili tunzo

    Jibu

    Hana haki ya kupata tuzo Steve

    Jibu

    Frank lampad wampe tuzo yake ameparfom vizuri kwa mwezi june.

    Jibu

    vzr

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.