Jurgen Klopp amesisitiza kuwa alikuwa wa kawaida licha ya kuleta taji la EPL Anfield, lililosubiriwa kwa muda mrefu katika klabu ya Liverpool.
Liverpool wamepata kombe la kwanza la Premier League tangu walipo fanya hivyo mwaka 1990 chini ya kocha Kenny Dalglish.

Baada ya kutua kunako klabu ya Liverpool mwaka 2015 mwezi Oktoba Klopp aliamua kujiita “the normal one” yani wa kawaida na meneja huyo wa Liverpool amesema hajabadilika atabaki kuwa wa kawaida.
“Mimi bado ni wa kawaida tu. Mimi sio Spesho/Maalumu ,” aliiambia Mirror.
“Nina ujuzi kidogo na bahati vinavyo hitajika katika soka, ambacho ndio kitu ninanacho kipenda sana, lakini yote ya yote mimi sio “Special” bado sijamaliza.
“Nafikiri mimi ni mtu mzuri, Nadhani mimi ni mtu poa. Inaonekana inachukiza lakini ndio ukweli.”
Klopp ameshinda vikombe mbalimbali na kulipendezesha kabati la hao Majogoo wa London tangu achukue mikoba ya kuinoa Liverpool vikombe hivyo ni kama England Premier League, UEFA, Super Cup na Club World Cup.
Lakini kocha huyo mwenye umri wa miaka 53 amesema hana mipango ya kuongeza muda wa kuendelea na kazi hiyo kwa muda mrefu, pia alifundishwa na kocha wa Crystal Palace Roy Hodgson ambaye atafikisha miaka 73 mwezi ujao.
“Sijioni mimi kufanya ukocha katika umri huo. Sina mipango yoyote kwenye hilo.


Aziza mushi
Asanten kwa habari meridianbet.
felister
Klopp the normal one
Ester jackson
Nakukubali sana klopp unaweza bado timu ya Liverpool inakuhitaji na hata timu nyingine zinakuhitaji ingawa tunakuachia maamuzi ni yako
Genia Sikaluzwe
Ahsant meridian kwa makala nzuri
Samira
Vizuri sana Jurgen klopp umenena vyema
Zeiyana
Liverpool watamkumbuka sana klopp ameifanyia kuania kushinda vikombe mbali mbali vikombe hivyo kama england,premier league,uefa,super cup na clab world cup
Dorophina
Klopp yupo sahihi lkn ameisaidia sana Liverpool kwa kiwango kikubwa anastahili pongezi
Magdalena
Klopp yupo vizuri Sana
Sadick
Wajerumani ni watu wa kazi hawana majivuno. Klopp hana makuu kama Mourinho#meridianbettz
JULIANA
Asante kwataharifa
Johnmary joel
Kwakweli kloppa anajiamini sana na ndiyo maana timu yake inasonga mbele#meridianbett
Isaya massawe
Anahitaji tuzo kabisa huyu
Amani
Klopp hana makuu kama Mourinho#meridianbettz
Neema juma
Hizo sifa ni za ukweli wala hujakosea wewe ni shujaa
Lydia Emmanuel Magoti
Vizuri sana Klopp unajua nn unakifanya
Povel
Klopp mzee wa gang press
Khadija
Nakukubali sana klopp livepool bado wanakuhitaji#meridianbettz
Rehema Dickson
watamkumbuka sana klopp ameifanyia kuania kushinda vikombe mbali mbali vikombe hivyo kama england,premier league,uefa,super cup na clab world cup
Caroline
Há há há há há hongera
Hamidu
Asante kwa taarifa#meridianbettz
Ernest
Kwa heshima aliyoijengea Liver anastahili kuonekana kuwa kocha bora zaidi kwenye macho ya watu
Revina
Kama anavyosema hana makuu na hapendi kujikweza ,sababu yake ni kwamba anapenda kujua na kuendelea kujifunza ila wao hawaelewi maana yake ,huyo ndo Jurgen Klopp
Fatina mfingi
Asanteh kwa taarifa
nasra
Anastahili tunzo
Samiah
Anastahili pongezi
Edgar
nakubali clopp uko Safi kabisa Kwanza umeleta heshima kubwa sana kwenye club yako… Na umepambana kiume coz mwakajana ulikosa ubingwa ukasema mwaka huu lazma kieleweke… Pongezi kwako.
warda
Naanza Kumpenda Klopp Kwa Maneno yake#Meridianbettz
Hope mwaikuka
Kujikubal vzur tu
Njiku
Safi sana klopp nakubali kazi yako na unaona mbali sana kwa ufundishaji wako utafanya liverpool inufaike na wwe na utaleta mataji mengi sana anfied kama uongozi wa liverpool utaafiki mawazo yako
Issa
Kloop ni kocha
Angelina
Klopp yuko tofauti sana
fatumakasom
Yupo sahihi simpingi
Gabriel
Jurgen klopp n kocha mzur sana japo watu wengi wanamtambua Kama kocha ila klopp pia alishawai kuwa mchezaji
Katika miaka mitano ya karne mpya iliongezeka Star Zhoz
miaka miwili mwalimu Munich “Bavaria” Jupp Heynckes ina ilifufuka gari uliochakaa na alishinda kwa mataji matatu yake – nyara tatu katika msimu mmoja. Lakini hata zaidi heshima anastahili Jurgen Klopp, karibu kutoka mwanzo wa kujenga timu, ambayo sasa kuwa mmoja wa nguvu katika Ulaya.
Hii ni kocha ambaye inaweza pia kuwa kubwa na kwenda chini katika historia ya kandanda duniani, kwa sababu katika historia ya “Borussia” kutoka Dortmund, yeye usahihi aliingia. Jurgen Klopp alizaliwa 1967 katika Stuttgart., wana wawili, mmoja wao hata kuichezea timu hifadhi ya “Borussia” mpaka wastaafu mapema kutokana na majeraha mbalimbali. Klopp anaishi katika mji wa Herdecke, ambayo ni chini ya Dortmund – kwamba wengi wa wachezaji wake nje huko na kuishi.
Kwa hiyo, pamoja na wazo la mpira wa miguu, mbinu yake na mafunzo – wote ni tu kipaji.
Lakini Klopp Yurgen si mara moja kuwa kocha – yeye umetoka mbali kama mchezaji. Hermann alicheza katika haki-nyuma, lakini hawawezi kusema kuwa yeye ni nyota – alikuwa hata alimwita na timu ya taifa ya Ujerumani. Hivyo Klopp mara wastani mchezaji ambaye alianza kazi yake katika “Glatt”, ambayo yeye kushoto mwaka 1983 katika “Ergentsingen”. Kisha bado miaka 16, hivyo juu ya mafanikio makubwa kwenye uwanja bado hakwenda – klabu mpya Hermann kuboresha mchezo wake, kupata uzoefu, na akaenda na “Pforzheim” katika miaka minne, lakini bado hakuwa ngazi ya wachezaji ndoto. mlinzi 20 mwenye umri wa miaka hakuwa kunyakua nyota kutoka angani, alifanya kazi kwa bidii na ilikuwa zawadi ya miezi sita na baadaye kuhamia Frankfurt, ambapo alianza kusema tayari timu ya kuvutia zaidi “Rot-Weiss”. Lakini kuna Klopp Yurgen hawakukaa kwa muda mrefu sana na kuhamia Shindlingen zaidi ya miezi sita, ambapo alianza hotuba yake kwa “Victoria”.
Mwaka mmoja baadaye alichukua mpira wa miguu kurudi Frankfurt, lakini “Rot-Weiss” ilikuwa tu hatua ya mwisho kabla ya mwisho skydiving Hermann – mwaka 1990 akiwa na umri wa 23, alijiunga na timu, ambayo amefungwa mwenyewe kwa miaka mingi.
Mpka anaingia Dortmund 2008 na hatimaye kuingia Liverpool na kuanza
Furahav
Klopp jeshi yuko vizuri.
Saupha mohamed
Klopp yupo normal sana
Sabrina
Maoni:klopp yuko vizur
Rehema
Kocha mzuri
Amiri Kayera
Ni kocha asiependa kujiona yeye nd yeye ila history itaongea atapoondok km mfalme
Devotha
Kocha huyu anajiamini sana
Asia Abdy
Klopp yuko vzur
Latifa juma mohamed
Umenena vema.
Salma
Yupo sahihi klopp
Theckla
Klopp yupo vizur sana
Omary lukumbi
Klopp n kocha mzr na asie penda majivuno
Evaluziga
Asanteni kwa taarifa
David Pere
Hakutaka kuvimba kichwa Kama Alina morinho
Theonestina
Hongera yake
Tatu
Klopp yupo vizuri ana makuu
Shafii
Ni bonge la kocha anastahili kuigwa na makocha wote ulimwenguni kwa mbinu zake na Mpira unaovutia.
lombo
mambo ni moto