Kai Havertz Aitaka Chelsea

Kai Havertz anatamani kujiunga na Chelsea majira ya kiangazi na haitaji kuendelea kutumikia Bayer Leverkusen kwa msimu mwingine. Havertz ni moja ya viungo bora Ulaya kwasasa na kuvivutia vilabu kama Liverpool, Bayern Munich na Real Madrid.

Chelsea tayari wamekamilisha uhamisho wa mshambuliaji wa RB Leipzig, Timo Werner na kiungo mshambuliaji wa Ajax, Hakim Ziyech, Chelsea bado wanahitaji kujiimarisha zaidi kwa kuingia kwenye mbio za kumsajili Havertz.

Ripoti za Ujerumani wiki hii zinasema wawakilishi wa Havertz wanatambua nia ya Chelsea kumsajili mchezaji wao wiki hii, tayari wametuma ofa rasmi ya kumsaini Havertz kutoka Leverkusen.

Ripoti zinasema mchezaji huyo wa kimataifa wa Ujerumani anatarajia kuondoka Leverkusen majira haya ya kiangazi, wakati Bayern wanajipanga kutumia pesa kubwa kwaajili ya kiungo huyo. Bayer Leverkusen wanataka £89.5m kwa Kai Havertz.

Leverkusen waliweka ada ya uhamisho €100 million (£89.5m) kwa Havertz.

46 Komentara

    Asante kwa makala nzuri

    Jibu

    Aende tu uko Chelsea kama moyo wake unamsukuma kwenda

    Jibu

    Gud news

    Jibu

    Chelsea wajitahidi wamchukue havertz atawasaidia

    Jibu

    Gud update

    Jibu

    Kipendacho roho hula nyama mbichi aendee tuu akajiunge na chelsea

    Jibu

    Msimu huu Chelsea wamesajili wachezaji makini sana je wataweza kuitumikia saini zao kwa Chelsea tunataka tuone mambo mazuri mashabiki .

    Jibu

    Chelsea naona wanajisuka msimu ujao ni toa jembe ingiza jembe nasubiri kuona mbinu za coach zitafanyaje kazii

    Jibu

    Naiona Chelsea ikiwa Moto Sana msimu ujao Nadhani wanatafuta mataji baada ya ukame wa muda mrefu

    Jibu

    Dogo hana ipenda Chelsea mwache haende tu

    Jibu

    Safiii Sana mtu upendapo namoyo unapo stairi kupenda Basi yeye kapenda nenda tuu baba kakipige chelsea

    Jibu

    Chelsea itakua moto msimu ujao kwa kufanya usajili wa maana

    Jibu

    Kwa wapenzi wa mpira tunatambua vizur Kai Havertz Oktoba 15, 2016, Havertz alicheza mechi yake ya kwanza kwenye kikosi cha Leverkusen alipoingia kipindi cha pili kuchukua nafasi ya Charles Aranguiz kwenye kichapo cha 2-1 kutoka kwa Werder Bremen. Kwa kucheza mechi hiyo aliweka rekodi ya kuwa mchezaji mwenye mdogo zaidi kwa timu hiyo kucheza kwenye Bundesliga, akiwa na umri wa miaka 17 na siku 126. Februari 17, 2017 alia-sisti bao la Karim Bellarabi, ambalo lilikuwa la 50,000 kwenye historia ya Bun-desliga. Siku nne baadaye, baada ya Hakan Calhanoglu kuwa na adhabu, Havertz alipata nafasi yake ya kwan-za kucheza mechi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, ambapo walipigwa na Atletico Madrid kwenye hatua ya 16 bora. Hiyo ilikuwa mechi ya kwanza. Huo ndio uliokuwa mwanzo wa maisha ya Havertz kwenye kikosi cha kwanza cha Leverkusen na mengine yaliyofuatia baada ya hapo ni historia.
    Kiwango cha Havertz kwa msimu huu kimevutia timu kibao za Ligi Kuu England wakihitaji saini yake. Vita kubwa ya kumpata itakuwa kwenye dirisha la Januari, ambapo Manches-ter United, Liverpool na Manchester City zote zinamhi-taji mchezaji huyo. Huku Uje-rumani, Bayern Munich nao wamemweka kwenye mi-pango yao, lakini kinachosubiriwa ni kuona kama vigogo wa Eng-land watashinda kwenye vita ya kumnasa mshambuliaji huyo, ambaye staili yake ya kiuche-zaji imekuwa ikifanishwa na ya supastaa wa Arsenal, Mesut Ozil.

    Jibu

    ahsante kwa taarifa

    Jibu

    Good news

    Jibu

    Aende tu ni sehem salama

    Jibu

    Habar njema

    Jibu

    Maoni:Chelsea wajipange tu wafikie makubariano wamchukue Havertz

    Jibu

    Asanteni kwa taarifa

    Jibu

    Habari nzuri.

    Jibu

    Gud news

    Jibu

    Fursa hii Kwa Chelsea km inamtaka

    Jibu

    Habari njema kwa mashabk wa chelsea

    Jibu

    Asante meridianbet kwa taarifa

    Jibu

    Habar njema kwa mashabiki

    Jibu

    Tunamkalibisha darajani Sana tu na kabla alikua chaguo sahihi kwa kocha wa Chelsea lampad.

    Jibu

    Dogo anajua Sana! Chelsea next msimu watasumbua sanaa

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Chelsea wafanye aajitahid kumsajili ili kuwe na mapinduzi makubwa msimu ujao

    Jibu

    Chelsea naona msimu huu mmejipanga kivake kwa kusajili wachezaj mahiri na km mkifanikiwa kumchukua Kai harvet itakuwa vema zaidi

    Jibu

    Asante meridianbet kwa taarifa

    Jibu

    watashinda kwenye vita ya kumnasa mshambuliaji huyo, ambaye staili yake ya kiuche-zaji imekuwa ikifanishwa na ya supastaa wa Arsenal, Mesut Ozil.#meridianbettz

    Jibu

    Asante Meridianbet kwa taarifa

    Jibu

    Kai utapaweza Chelsea

    Jibu

    Itakua poa akienda Chelsea jamaa n jembe

    Jibu

    Ajitahidi tu Atahamia Huko Mana Chelsea Nao Wanamtaka #Meridianbettz

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

    Habari jema sana

    Jibu

    Habari nzuri kwa shabiki wake

    Jibu

    Habari nzuri

    Jibu

    Habari njema sana#meridianbettz

    Jibu

    welcome chelsea kai

    Jibu

    habari nzuri

    Jibu

    Habari nzuri haende tuu

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.