Arsenal vs Leicester: Arsenal watakuwa wanatarajia kuendelea kuwa kwenye fomu nzuri wanapowakaribisha Leicester dimbani Emirates.
Washika mtutu wanaelekea kwenye mechi hii dhidi ya Leicester City wakiwa wametoka kushinda bao 2-0 dhidi ya Wolverhampton.
Kikosi cha Arteta bado kina nafasi finyu sana kupenya Ligi ya Mabingwa. Arsenal wapo nafasi ya saba, wakiwa na tofauti ya pointi 6 dhidi ya Man United walipo nafasi ya 5. Safari ya kuondoa gepu hili na kumaliza 4 bora inaonekana kuwa ngumu zaidi kutokana na fomu waliyonayo Man U kwa sasa.

Ushindi wa gemu iliyopita unatarajiwa kuwa utawapa jeuro Arsenal, ambao pia hawajapoteza gemu ya nyumbani kwa mwaka 2020. Wakati Leceister wao bado hawajapata ushindi wa ugenini tangia mwaka mpya.
Vikosi vinavyotarajiwa
Arsenal (3-4-3): Martinez; Sokratis, Luiz, Holding; Bellerin, Willock, Xhaka, Tierney; Saka, Lacazette, Aubameyang
Leicester (3-4-1-2): Schmeichel; Justin, Evans, Soyuncu; Albrighton, Ndidi, Praet, Barnes; Tielemans; Vardy, Iheanacho


Tahiya
Kila la kheir chama langu Arsenal apo ni kuomba Mungu miujiza itokee na bahati iwe upande wetu mana muelekeo wa timu siyo mzur
Dorophina
Kila lakheri arsenal
Shafii
Mechi Kali Sana maana Leicester anataka kujiakikishia kusalia nafasi ya tatu wakati arsenal anataka kujikongoja arudi top 4 sio ya kukosa hii mechi ni Kama fainali.
Franky
Arsenal wana kibarua kigumu Leo lazima wapoteze ihii game nyumbani..
warda
Hii Mechi Ngumu sana#Meridianbettz
Tatu
Arsenal mshindi leo
Salma
Hii si ya kitoto
Lydia Emmanuel Magoti
Hii mechi itakuwa ngumu Sana Arsenal wakaze buti tuu
Ester jackson
Kila la heri arsenal mshinde muwe katika nafasi nzuri mana bahati sasa imeguikia kwenu kutokana na makosa ya timu ya Manchester city waliyo yafanya .
Hope mwaikuka
Leo kuna balaa zito
Genia Sikaluzwe
Leo itajulikana na bigwa hapo
Theckla
Arsenal anashinda 3 bila
Ernest
Hii ni mechi ngumu sana lakini nawapa ushindi Arsenal kipindi cha pili.
Issa
Kwa mara nyingine tena kichapo kitawahusu the gunners
Magdalena
Arsenal mjitume leo msinichanie mkeka
Amiri Kayera
Mechi itakua ngum na muhim points tatu Kwa wote
felister
dua langu nawaombea arsenal
Zeiyana
Hatuna mashaka na arsenal yetu
Mariam mtandama
Safi
isha
Leicester wanampiga mtu leo
Edgar
Ni hatari sana maan mechi kali sana.. ila arsenal Leo anakaa…
Njiku
Mechi itakuwa ngumi sana maana leister city wanataka washinde hii game ili wajiakikishie kuwa katika big 4 ili wacheze uefa champi
Gabriel
Klabu hiyo inacheza katika Ligi Kuu ya soka ya Uingereza. Klabu imeshinda makombe mara 13 ya ligi ya FA, vikombe viwili vya Ligi kuu,
Arsenal ilikuwa klabu ya kwanza kutoka Kusini mwa Uingereza ili kujiunga na ligi kuu, mwaka 1893, na walifikia Idara ya Kwanza mwaka 1904. Walipigwa mara moja tu mwaka wa 1913, wanaendelea mstari mrefu zaidi katika timu zinazoshikiria nafasi za juu.
Katika miaka ya 1930, Arsenal ilishinda michuano ya Ligi na vikombe viwili vya FA,walishinda Ligi mara moja na Kombe la FA mara mbili. Kati ya 1989 na 2005 ilishinda makombe ya Ligi mara tano na vikombe vitano vya FA.
Hivyo basi kwa upande wa watoto Leicester wajipange tena sana maana wanakutana na club kubwa na wazoefu kwenye kupambana na ubingwa
Angelina
Arsnal leo lazima ashinde kwao
Frank Patrick
Nakaa kwa Arsenal leo naona anapata matokeo mazuri
Povel
Gud news
neema hassan
Bonge la mechi
Sabrina
Maoni:Arsenal wanakibarua kizito kumkabili Leicester ila watatoboa tu
Theonestina
Dua Nene kwa arsenal
Hamidu
Arsenal anapotea #meeidianbettz
Saupha mohamed
Mmmh arsenal Leo anapigwa
Omary lukumbi
Kwa arsenal kazi wanayo leo maana vardy yupo kwenye form sasa hv na ndio anaongoza kwa wafungaji wa epl ana magoli 21 bado anataka kuwaacha mbali wapinzan wake kwa kutwaa kiatu cha dhahabu
Rehema
Arsenal naikubali
Caroline
Atari atari
Asia Abdy
Mechi ilikua kal
Mwanahamisi
Big mechi
Adelta
Bonge la mechi
David Pere
Kwa upande wangu Mimi hii mechi niliiona kabisa Kama itatoka sukuhu maana kila timu ikijiandaa vizuri
Samira
Natamani sana arsenal amfunge Leicester
Evaluziga
Hii si ya kitoto
Khadija
Natamani arsenal amfunge mtu magoli 4#meridianbettz
farida ahmadi
Hii mechi ni ngumu Sana yaani hapa leo ntunaisubiri kwa hamu kuona kivumbii ndani ya Emirates
devotha
ushindi kwa leicester
Samiah
Leicester ushindi