"UEFA Msimu Ujao Tutacheza tu" Rodgers

Kocha wa Leicester, Brendan Rodgers hana mashaka na timu yake kujihakikishia nafasi ya kurejea Champions League.

The Foxes, walitwaa taji la Premier League mwaka 2016, walianza vibaya kurejea kwa Ligi Kuu, walipata sare mbili na kupoteza dhid ya Everton.

Lakini ushindi wa 3-0 nyumabi dhidi ya Crystal Palace Jumamosi na kuifanya kusalia nafasi ya tatu.

“Tunatakiwa makini na mchezo ujao,” alisema Rodgers. “Ni matumaini yetu mwisho wa msimu tuttafikia ndoto zetu.”

Leicester wapo pointi moja juu ya nafasi ya nne Chelsea, na Manchester United yenye moto ikiwa pointi mbili nyuma, baada ya kushinda mechi tatu mfululizo.

The Foxes, walimaliza nafasi ya tisa msimu uliopita, mara mwisho walicheza Champions League mwaka 2017 walifanikiwa kufika robo fainali, baada ya kutwaa taji Premier League chini ya Claudio Ranieri.

49 Komentara

    Great

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Kwa mwendo wanapenda nao wstacheza tu maana kila mechi wanashinda tu

    Jibu

    Leicester wapo pointi moja juu ya nafasi ya nne Chelsea, na Manchester United yenye moto ikiwa pointi mbili nyuma, baada ya kushinda mechi tatu mfululizo.naombea apoteze na Chelsea nao wapoteze ili man u apate nafasi ya kushiriki champions league# meridianbettz

    Jibu

    Maoni:Leicester ni tim nzuri sana wachezaji wanajituma sana

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Wasijisahau sana point moja ya juu ya nafasi ya nne Chelsea na man Chester united yenye moto ikiwa point mbili nyuma baada ya kushinda mechi tatu mfululizo wasijisahau wakiona tayali washamaliza bado manakibarua kizito

    Jibu

    Leicester wanakuja kwa kwa kasi sana ila kwa Chelsea watawapiga tu na atakaa katika nafasi nzuri

    Jibu

    Mambo ya Kujiamini tu#Meridianbettz

    Jibu

    Kila kitu kwenye hii dunia ni kujiamini ndio mpango mzima

    Jibu

    Safiii kujiamini tuu

    Jibu

    Inapendeza sana hiyo

    Jibu

    Kujiamini ni Jambo muhimu

    Jibu

    Raha sana kujiamini

    Jibu

    👏👏

    Jibu

    Bado wanakibarua kizito ila kwakuwa wanajiamini watafanya vizuri

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Kikubwa ni kupambana wakifanya ivyo watajikita kwenye nafasi yao ileile na kupelekea kushiriki club bingwa msim ujao kwani nafasi wanayo.

    Jibu

    Mchuano ni mkali hapo kila timu inapambana kuingia top 4 , hii ndio ule msemo wa adui yako muombee njaa

    Jibu

    Anatakiwa pia aendelee kushinda maana the blues yupo nyuma anakujaaaa

    Jibu

    Leicester wanajituma sana uwanjani

    Jibu

    Kujiamini ndio kila kitu

    Jibu

    Safi sana waskate tamaa

    Jibu

    Vzur

    Jibu

    Bado wanakazi kubwa Sana

    Jibu

    Napata mashaka kidogo kwa kauli ya Rodgers kuhusu kucheza Uefa msimu ujao kutokana na hali halisi ya kikosi chake

    Jibu

    Wana kazi ngumu kutoboa inabidi mechi walizobaki nazo wasipoteze

    Jibu

    Kikubwa wasikate tamaa Leicester city

    Jibu

    Bado top 4 ngum ila nimuhim kueka jitiada

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Gud news

    Jibu

    Nice

    Jibu

    kabisa dalili zote zipo maana arsenal Leo anakufa

    Jibu

    Maombi mengi kwake coach na team yake tuwaone tena UEFA

    Jibu

    Hv nice update 👍

    Jibu

    Maoni:Safi sana hii

    Jibu

    Gud information 👍

    Jibu

    Habari nzuri

    Jibu

    Leicester wako nafasi mzur na watashiriki uefa champions league msimu ujao

    Jibu

    Gud

    Jibu

    Safi sana

    Jibu

    Ongezeni juhudi.mtacheza tu champion League

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Habari njema sana#meridianbettz

    Jibu

    habari njema

    Jibu

    muhimu kujiamiani

    Jibu

    Anatimu nzuri akiongeza juhudi atafikia malengo yake

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.