Tetesi za Soka Barani Ulaya.

Manchester City na Juventus zimeongeza juhudi za kumsaka winga wa Wolves na Uhispania Adama Traore, 24 ambaye pia anayatiwa na Barcelona.

Chelsea wanapigiwa upatu kumsajili mshambuliaji wa Bayer Leverkusen Kai Havertz, 21, baada ya klabu kadhaa za Ujerumani kushindwa kufikia bei ya euro milioni 90 kumpata mchezaji huyo.

Tetesi za Soka Barani Ulaya.

Barcelona imeulizia kuhusu usajili wa kiungo wa kati wa Tottenham Mfaransa Tanguy Ndombele, 23, na mlinzi Ryan Sessegnon kutoka Uingereza katika mpango utakaohusisha ubadilishanaji wa wachezaji.

Spurs huenda wakamsajili kwa mkopo Sessegnon msimu huu wa joto licha ya hofu kwamba nyota ya kiungo huyo mwenye umri wa miaka 20-inafifia chini ya ukufunzi wa Jose Mourinho.

Borussia Dortmund imeipatia Manchester United hadi Agosti 10 kukamilisha mchakato wa usajiliwa winga wa England Jadon Sancho, 20.

Jadon Sancho

Mshambuliaji wa England Tammy Abraham, 22, ameiambia Chelsea kwamba anataka mkataba mpya wa thamani ya £130,000 kwa wiki.

Mkufunzi wa West Ham David Moyes anatafakari uwezekano wa kuwanunua wachezaji wa Manchester United Phil Jones, 28, na Jesse Lingard 27.

Arsenal, West Ham na Everton wanamtaka beki wa Athletic Bilbao na Uhispania Unai Nunez,23.

Rais wa Barcelona Josep Bartomeu amesema klabu hiyo huenda isimsajili tena mshambuliaji wa Brazil Neymar, 28,kutoka Paris St-Germain msimu huu wa joto.

Tetesi za Soka Barani Ulaya.

Saint-Etienne ina matumaini ya kumhifadhi kwa mkopo beki wa Arsenal Mfaransa William Saliba, 19.

Winga wa Uholanzi Tahith Chong, 20, huenda akaondoka Manchester United kwa mkopo msimu ujao, kwa mujibu wa ajenti wake.

Barcelona imemhakikishia mshambuliaji wa Ufaransa Antoine Griezmann, 29, kwamba yupo katika mpango wa klabu hiyo msimu ujao.

38 Komentara

    Neymar kurudi barca inabidi apunguze mambo ya ujana

    Jibu

    Wenye uwezo ndio atafanikiwa

    Jibu

    Chelsea ya msimu ujao itakuwa moto wa kucheza mbali sio kwa usajili ambao wanafanya hasaivi

    Jibu

    Wenye uwezo ndio watakao fanikiwa

    Jibu

    Tnx kwa makala nzuri

    Jibu

    Hilo no kipindi Cha kutengeneza timu lazima timu ziwe bize Sana na Mambo ya usajili bila ya hivyo watavulunda tu kwenye ligi zao

    Jibu

    Habari nzuri

    Jibu

    Chelsea kwa msimu ujao Mambo yatakuwa vzr c kwa usajil huu

    Jibu

    Asante meridianbet Kwa taarifa

    Jibu

    Chelsea wamesajili wachezaji wazuri msimu ujao watakuwa vizuri#meridianbett

    Jibu

    Nihabari njema

    Jibu

    Habari nzuri

    Jibu

    Habari nzuri

    Jibu

    Chelsea msimu ujao mambo yatakuwa moto sio kwa usajili huo#meridianbettz

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

    Good news

    Jibu

    Asante kwataharifa

    Jibu

    Barcelona imemhakikishia mshambuliaji wa Ufaransa Antoine Griezmann, 29, kwamba yupo katika mpango wa klabu hiyo msimu ujao.#meridianbettz

    Jibu

    Hv nice update 👍

    Jibu

    ahsante kwa makala

    Jibu

    Msimu ujao Chalsea itakuwa ni moto wa kuotea mbali

    Jibu

    abraham pia anastahili nyongeza ya mshahara

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Axante kwa habar

    Jibu

    Neymar atulie t club moja

    Jibu

    asante kwa makala

    Jibu

    Habari njema Sana na nzuri Sana meridian endeleeni kutupa habari motomoto km hz

    Jibu

    Juve wakimpata traore itakua poa sana

    Jibu

    Habar njema ila kwa man United wafanye hima sana kumsajili sancho fundi

    Jibu

    Maoni:pesa yao tu mwenyepesa za kutosha anaweza kufanya usajili

    Jibu

    Man u wafanye haraka kumsajili sancho

    Jibu

    Duuu basi yupo juu#Meridianbettz

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Duu Basi yupo juu

    Jibu

    Napata shaka na kauli ya Barca juu ya Griezmann

    Jibu

    Habari nzuri.

    Jibu

    Habari nzuri

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.