Kocha mkuu wa klabu ya Chelsea, Frank Lampard ameelezea uamuzi wake wa kumuachaΒ kutoka kwenye kikosi cha kwanza tangu ligi ya Uingereza kurejea.
Kiungo huyo wa kimataifa wa Italia, ambaye amehusishwa na kuhama huko Stamford Bridge bado hajaanza katika michezo yoyote ya Chelsea tangu kurejea tena kwa ligi, ikiwa ni pamoja na game yao ya usiku wa jana dhidi ya Crystal Palace huko Selhurst Park ambako Chelsea aliibuka na ushindi wa Goli 3-2.
“Jorginho hapaswi kufanya chochote tofauti ili apangwe, Anafanya mazoezi vizuri, ni mzuri ndani ya timu na nje ya uwanja, ni Nahodha msaidizi wa klabu”.
“Ni chaguo langu kwa sasa na kile ninachokiona bado kuna michezo mbele yangu, naanza jinsi ninavyopenda kuwa katika kiungo cha kati”.
“Wakati mwingine kukosekana kwake kunaweza kuathiriwa na wachezaji wengine ambao wako kwenye nafasi yake, ambapo nadhani tunahitaji sifa za kujihami zaidi kwenye mchezo. Haitaji kufanya kitu chochote, ni chaguo langu tu.”
warda
Jamani Kwa nini Anamfanyia Hivyo#Meridianbettz
Asia Abdy
Duh sio poa jaman
Caroline
Dah.sawa bwana
felister
uamuzi wake
Khadija
Haah kwann amefanya hivo#meridianbettz
JULIANA
Lampard anajua
Rehema
Eeee bwanee sio poa kabisa
Dorophina
Hiyo sio haki ht km Ni haki yake
Neema juma
Duuu hii ni nomaa
Magdalena
Hii balaa sasa
David Pere
Kocha yoyote anayejua kazi yake lazima amuelewe jorginho kuwa ni mchezaji mzuri na mwenye kujituma sanaa anapokuwa uwanjani
Angelina
Hii haijakaa sawa kabisa
Tatu
Uwamuzi ni wake
isha
Duuh hii siyo haki kabisa
Genia Sikaluzwe
Duuuuh hatari Sana
Hamidu
Jorginho kiungo fundi bado anamchango mkubwa pale chelsea#
Shafii
Ni maamuzi ya mwalimu kuamua ni mchezaji gani anamfaa kwenye mbinu zake au hafai.
Zuhura omary kindamba
Ayi ni maamuzi yake
Samira
Yeye pekee ndio anajua mtu yupi anastahili kubaki katika timu ili kuleta matokeo mazuri Chelsea
Evaluziga
Duuu hi ninoma sana
Johnmary joel
Jamani siyo poa#meridianbett
Emmy cleopa
Duuuh!!! Hatari
Salma
Uwamuzi ni wake
Tahiya
Kwanini hampangi kwenye mechi, lampard unazingua
Saupha mohamed
Nomaaa duu
Flomena
Jorginho hapaswi kufanya chochote tofauti ili apangwe, Anafanya mazoezi vizuri, ni mzuri ndani ya timu na nje ya uwanja, ni Nahodha msaidizi wa klabu. #meridianbettz
Gabriel
Hv a nice update π
Hope mwaikuka
Dah itakuaje
Amiri Kayera
Mchezaj mzur san joginho
devotha
hayo ni maamuzi yake kocha
Omary lukumbi
Lampard ana feli wapi atalikosa jembe hilo ana shindwa kutuliza presha ya mashabiki na taarifa za kufikia kuondoka asiangalie pekee usajili tuu pia angalie na aliokua nao wanamchango.mzr tuu kwake
Mwanahamisi
Hayo nimaamuzi yake
Sabrina
Maoni:Lampard anazifua fundi anamuweka benchi
Zeiyana
Gud news.
Lydia Emmanuel Magoti
Daa sio poa jamani