Frank Lampard Bado Ana Mpango na Jorginho

Kocha mkuu wa klabu ya Chelsea, Frank Lampard ameelezea uamuzi wake wa kumuachaΒ  kutoka kwenye kikosi cha kwanza tangu ligi ya Uingereza kurejea.

Kiungo huyo wa kimataifa wa Italia, ambaye amehusishwa na kuhama huko Stamford Bridge bado hajaanza katika michezo yoyote ya Chelsea tangu kurejea tena kwa ligi, ikiwa ni pamoja na game yao ya usiku wa jana dhidi ya Crystal Palace huko Selhurst Park ambako Chelsea aliibuka na ushindi wa Goli 3-2.

“Jorginho hapaswi kufanya chochote tofauti ili apangwe, Anafanya mazoezi vizuri, ni mzuri ndani ya timu na nje ya uwanja, ni Nahodha msaidizi wa klabu”.

“Ni chaguo langu kwa sasa na kile ninachokiona bado kuna michezo mbele yangu, naanza jinsi ninavyopenda kuwa katika kiungo cha kati”.

“Wakati mwingine kukosekana kwake kunaweza kuathiriwa na wachezaji wengine ambao wako kwenye nafasi yake, ambapo nadhani tunahitaji sifa za kujihami zaidi kwenye mchezo. Haitaji kufanya kitu chochote, ni chaguo langu tu.”

35 Komentara

    Jamani Kwa nini Anamfanyia Hivyo#Meridianbettz

    Jibu

    Duh sio poa jaman

    Jibu

    Dah.sawa bwana

    Jibu

    uamuzi wake

    Jibu

    Haah kwann amefanya hivo#meridianbettz

    Jibu

    Lampard anajua

    Jibu

    Eeee bwanee sio poa kabisa

    Jibu

    Hiyo sio haki ht km Ni haki yake

    Jibu

    Duuu hii ni nomaa

    Jibu

    Hii balaa sasa

    Jibu

    Kocha yoyote anayejua kazi yake lazima amuelewe jorginho kuwa ni mchezaji mzuri na mwenye kujituma sanaa anapokuwa uwanjani

    Jibu

    Hii haijakaa sawa kabisa

    Jibu

    Uwamuzi ni wake

    Jibu

    Duuh hii siyo haki kabisa

    Jibu

    Duuuuh hatari Sana

    Jibu

    Jorginho kiungo fundi bado anamchango mkubwa pale chelsea#

    Jibu

    Ni maamuzi ya mwalimu kuamua ni mchezaji gani anamfaa kwenye mbinu zake au hafai.

    Jibu

    Ayi ni maamuzi yake

    Jibu

    Yeye pekee ndio anajua mtu yupi anastahili kubaki katika timu ili kuleta matokeo mazuri Chelsea

    Jibu

    Duuu hi ninoma sana

    Jibu

    Jamani siyo poa#meridianbett

    Jibu

    Duuuh!!! Hatari

    Jibu

    Uwamuzi ni wake

    Jibu

    Kwanini hampangi kwenye mechi, lampard unazingua

    Jibu

    Nomaaa duu

    Jibu

    Jorginho hapaswi kufanya chochote tofauti ili apangwe, Anafanya mazoezi vizuri, ni mzuri ndani ya timu na nje ya uwanja, ni Nahodha msaidizi wa klabu. #meridianbettz

    Jibu

    Hv a nice update πŸ‘

    Jibu

    Dah itakuaje

    Jibu

    Mchezaj mzur san joginho

    Jibu

    hayo ni maamuzi yake kocha

    Jibu

    Lampard ana feli wapi atalikosa jembe hilo ana shindwa kutuliza presha ya mashabiki na taarifa za kufikia kuondoka asiangalie pekee usajili tuu pia angalie na aliokua nao wanamchango.mzr tuu kwake

    Jibu

    Hayo nimaamuzi yake

    Jibu

    Maoni:Lampard anazifua fundi anamuweka benchi

    Jibu

    Gud news.

    Jibu

    Daa sio poa jamani

    Jibu

Acha ujumbe