Iker Casillas Atangaza Kustaafu

Staa Iker Cassilas ametangaza rasmi kustaafu soka baada ya kupata mafanikio ya soka lake la kulipwa akiwa na Real Madrid, Porto ma Hispania.

Iker Casillas ambaye ana miaka 39, ameamua kutangaza kustaafu rasmi baada ya kutocheza soka kwa zaidi ya mwaka mmoja, tangia alipopata shambulio la moyo mwezi Mei mwaka jana akiwa mafunzoni na klabu ya Porto.

Mwezi Feburari mwaka huu, staa huyu alitangaza kujiondoa kwenye kuwania Uraisi wa shirikisho la soka (Royal Spanish Football Federation [RFEF]). Pia raisi wa Porto Pinto da Costa alitangaza kuwa Pedro amestaafu.

Licha ya mchezaji mwenyewe kutotangaza suala hili hadharani, kocha mkuu wa Porto Sergio Conceicao alilazimika kukanusha taarifa kuwa staa huyu atatokea kwenye gemu ya kuwaaga kwa mara ya mwisho kabla ya kuondoka rasmi.

Kupitia kurasa za mitandao ya kijamii, Casillas ametoa tamko kuthibitisha kuwa anastaafu rasmi soka.


 

Tiketi yako ya kwanza kamwe haiwezi kupoteza ukiwa na Meridianbet. Unarudishiwa 100% ya Tiketi yako ya kwanza.

Ingia mchezoni

 

34 Komentara

    Iker kasillas kaacha historia kubwa madrid ni bora astaafu soka pia

    Jibu

    Ametengeneza historia kubwa ni vzr Zaid pia umri umeend a kazi na umri

    Jibu

    Casillas ni miongoni mwa makipa ambao wamejiwekea heshima kubwa sana kwa umahiri wao katika kuzuia mikwaju golini, Anastahili pongezi kwa kazi kubwa alioifanya kwenye nyakati zake.

    Jibu

    Hongera kwa kufanya vzur kwa wakat wako, pumzka

    Jibu

    Anastahili kufanya ivyo kwasabu huu ndo wakati wake wa kustaafu kulingana na umri wake.

    Jibu

    Atakumbukwa daima

    Jibu

    Mda wa Kula bata

    Jibu

    Umri umeenda apumzike tyuu

    Jibu

    Amejijengea heshima kubwa kwenye tasnia ya mpira

    Jibu

    Muda umeshamtupa mkono ni bora apumzike tuu

    Jibu

    Muda wakula bata

    Jibu

    Kaona kushindana na buffon hawez tena

    Jibu

    Iker Casilla atakumbukwa sana Ni golikipa anayecheza kwenye klabu ya FC Porto na timu ya taifa ya Hispania kama golikipa. Cassilas anajulikana kama golikipa mwenye mafanikio makubwa kwa muda wote katika soka.
    Casillas alianza kucheza mpira mwaka 1999 katika timu ya wadogo ya Real Madrid. Akiwa Madid Casillas alipata mafanikio mengi ikiwemo kuchukua kombe la UEFA mara tatu na kuchukua kombe la LA LIGA. Katika timu ya taifa Casillas amefanikiwa kuiwezesha kuchukua kombe la Dunia mwaka 2010 nchini Afrika kusini walipocheza fainali na timu ya taifa ya Uholanzi.
    Kwenye mafanikio yake amewahi kushinda tuzo ya golikipa bora wa dunia nyuma yake akiwa Buffon wa Italia mwaka 2010.
    # meridianbet Tanzania

    Jibu

    Daah kapumzike iker.

    Jibu

    Mapumziko mema

    Jibu

    Atakumbukwa daima

    Jibu

    Mapumziko mema

    Jibu

    Mapumziko mema#meridianbettz

    Jibu

    Apumzike tu kashajichokea

    Jibu

    Hongera kwa kufanya vizuri kwa wakati uliokua kazin Sasa muda umeshakutupa mkono pumzika tu

    Jibu

    pongezi zake kwa kupata mafanikio na pia umri umeenda apumzike tu

    Jibu

    Ameipa mafanikio mengi sana timu yake ni mda wake iker kupumzika sasa

    Jibu

    Katika timu ya taifa Casillas amefanikiwa kuiwezesha kuchukua kombe la Dunia mwaka 2010 nchini Afrika kusini walipocheza fainali na timu ya taifa ya Uholanzi.
    Kwenye mafanikio yake amewahi kushinda tuzo ya golikipa bora wa dunia nyuma yake akiwa Buffon wa Italia mwaka 2010.
    # meridianbet Tanzania

    Jibu

    Bora astaafu kwa Heshima#Meridianbettz

    Jibu

    anastahili kufanya ivyo huu ni wakati wake wa kustaafu

    Jibu

    Kila kitu kinaenda na wakati umeacha historia kubwa sana Real Madrid

    Jibu

    Muda wa kupumzika umefika

    Jibu

    Anastahili ilo

    Jibu

    Iker Casillas alikuwa na mafanikio akiwa Real Madrid na Timu ya Taifa ya Spain#meridianbettz

    Jibu

    Mapumziko mema

    Jibu

    Alifanya vizuri..apumzike salaama tu

    Jibu

    Safii Sana mda wake ushafika wakupumzika yupo sahii anacho kiongea mdaushafika kipasavyo anajinsi mapumziko mema

    Jibu

    Amestaafu kwa heshima kubwa saanaa

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.