Msimu huu (2019-20) umekuwa wa aina yake kunako anga la soka barani Ulaya. Mbio za kutafuta tuzo za kiatu cha dhahabu hakika zilikuwa za kusisimua ukimtizama Ciro Immobile na nyota wengine.
Tuzo hiyo hutolewa kwa mchezaji aliyefunga magoli mengi katika Ligi tano kubwa barani Ulaya – EPL, La Liga, Serie A, Bundesliga na Ligue 1.
Msimu huu umekuwa wa aina yake kwa wachezaji mbalimbali kuonesha uwezo wao katika kupachika magoli. Ciro Immobile anaekipiga kunako timu ya Lazio inayocheza Serie A amekuwa na msimu mzuri kwa kupachika jumla ya magoli 36 katika michezo 37 aliyocheza msimu huu.

Lionel Messi wa Barcelona kunako La Liga amefunga magoli 25, Cristiano Ronaldo (31) na, Lewandowski (34). Katika idadi hizi, Immobile amefunga magoli 14 na Ronaldo 12 kwa mikwaju ya penati, Messi amefunga magoli 5 kwa mipira ya faulo wakati Lewandowski akifunga penati 5 pekee.
Akizungumzia mafanikio hayo, Immobile amenukuliwa akisema ” Inashangaza, mimi kuwa kati ya Ronaldo na Lewandowski. Nikiangalia orodha ya waliotangulia siamini, ni Messi, Messi, Suarez, Ronaldo, Ronaldo, Messi, Messi, Ronaldo, Messi”

“Nimeingilia utawala wa Messi na Ronaldo. Kwa hili, ninawashukuru wachezaji wenzangu”
Kwa idadi ya magoli ya Immobile msimu huu, ameifikia rekodi ya Gonzalo Higuain ambaye alifunga magoli 36 katika msimu mmoja wa Serie A mwaka 2015-16.

Pamoja na hilo, Immobile pia amezungumzia taarifa ya David Silva kujiunga na Lazio msimu ujao. Kumekuwa na taarifa kwamba kiungo huyo ananafasi kubwa ya kutimkia Serie A baada ya kuitumikia Manchester City kwa miaka 10.

Kuhusu ujio wa Silva, Immobile amesema ” Ni mchezaji mzuri mwenye uzoefu mkubwa, tunasubiri kumpokea kwa mikono miwili. Ninashauku kubwa ya kumpokea, sisi ni mashabiki kabla ya kuwa wachezaji wa Lazio”.
Pamoja na mafanikio ya Immobile msimu huu kunako Serie A, timu anayoingoza kama Nahodha – Lazio, wamemaliza ligi katika nafasi ya nne nyuma ya mabingwa Juventus, Inter Millan na Atalanta.
Umekuwa mteja muaminifu wa meridianbet? Kuna zawadi kibao hadi 5% ya pesa yako inarejeshwa kwako. Kila wiki unaweza kurudishiwa mpaka Tsh 250,000.


Hope mwaikuka
Hongera immo
Furahav
Good news
Povel
Congrat immobile Ciro 🤝🤝🤝🤝
Sabrina
Hongera sana immobile
Leticia
Good news
Issa
Immobile ni moto sana
Ernest
Immobile hajataka masihara msimu huu
Sadick
Baada ya mafanikio haya nilitegemea vikumbo vya timu kubwa vianze kumunyatia#meridianbettz
JULIANA
Safi
Rehema
Safi
Gabriel
Habar njema sana 👍
jullie
HONGERA ZAKE
Rose kapinga
Hongera Imobile unatamba wewe tuuu!!!!
Shafii
Immobile amefanya kitu kikubwa Sana kwenye ligi hiyo amempiku hadi cr7 kwa magoli.
Aziza mushi
Safi🤙
Dorophina
Hongera immobile msimu huu hukutaka kulala
Adelta
Good news
@meridianbettz
Saupha mohamed
Safii
Khadija
Immobile ajataka mshahara mwezi huu#meridianbettz
Fatina mfingi
Hongera
felister
safi
Mwajumah
Safii
Caroline
Immobile anadeserve.
Zeiyana
Tunzo za safari hii kumekua na mabadiliko makubwa sana toka mapunziko ya korona wachezaji wamekua na molali makubwa sana kimichezo
David Pere
Amestahili sanaa
Ester jackson
Pongezi nyingi kwake mana nilitegemea majina ambayo tumeyazoea sasa ni zamu ya wengine
Njiku
Kafanya vizuri sana immobile kavunja rekodi safii sana isihishie hapa kwa immobile andelee kushindana
Shan
Pongezii kwa immobile!!!
Tatu
Pongezi kwake
Salma ngende
Pongez kwake
Neema
Anastahili pongezii Kwa kweliii
Nasra
Immobile amekuja kufanya Jambo zuri mbele ya cr7 anastahili pongezi.
Devotha
Hongera sana immobile
Latifa juma mohamed
Hongera immobil
Theonestina
Safi sana
farida ahmadi
Hakika yuko vizuri immobile
Samiah
Safi sanaa
Lydia Emmanuel Magoti
Safii
magdalena
safi sana
warda
Hongera yake