AC Milan watajaribu kumsajili Tiemoue Bakayoko kwa mkopo kutoka Chelsea badala ya kuamua kufanya uhamisho wa kudumu – Kulingana na Sportitalia, kiungo huyo inasemekana anapendelea kwenda klabu hoyo ya San Siro baada ya kutumia msimu wa 2018/19 kwa mkopo.
Bakayoko hakuwepo kwenye kikosi cha Chelsea chini ya Lampard baada ya kutumia msimu wa 2019/20 kwa mkopo huko Monaco, na The Blues inaamini kuwa kumuuza Mfaransa huyo mwenye umri wa miaka 25 itakuwa ni jambo sahihi.

AC Milan wameanza mazungumzo na Chelsea kumsajili Tiemoué Bakayoko. Ambapo ofa yao ni €3M kwa mkopo pamoja na €35M kumnunua moja kwa moja na ikumbukwe mchezaji huyo anataka kurudi Milan.
Umekuwa mteja muaminifu wa meridianbet? Kuna zawadi kibao hadi 5% ya pesa yako inarejeshwa kwako. Kila wiki unaweza kurudishiwa mpaka Tsh 250,000.


warda
Bakayoko Jina limepotea sana#Meridianbettz
Caroline
Bakayoko kashuka kiwango
Njiku
Bakayoka yupo poa sanaa
Mwajumah
Bakayoko anaanza kufeli sasa#Meridianbettz
Adelta
Bakayoko anamaamuzi yake mwenyewe
Wamwache@meridianbettz
Theckla
Wakati wake umekwisha sasa
Dorophina
Kama wameamua kumpeleka ac milan wampeleke tu moja kwa moja wasije anza kumuyumbisha mara abaki
Mariam mtandama
Makala mazur
Zeiyana
Me naona bakayoko hataki kurudia matapishi safi sana msimamo ndio kitu kinacho takiwa
aisha
Hana jipya bakayoko pole yake
Ester mmakasa
Pole yake kijana bakayoko
Ernest
Bakayoko anatakiwa kufanya uamuzi sahihi juu ya timu ya kwenda
Sauda
Uamuzi ni wake, kazi kwake kuchagua.
Lydia Emmanuel Magoti
Bakayoko kiwango kimeshuka Sana
Sadick
Aliyekuwa Kocha Chelsea Antonio Conte hakuridhishwa na usajiri wa Bakayoko kwenda Chelsea jambo ambalo lilipelekea mahusiano yake na Bodi yadorore hatimaye kupelekea kufukuzwa#meridianbettz
felister
asitufokee bakiyoyo 🙌
Shafii
Bakayoko Chelsea ilishamshinda akipige tu huko huko serie A.
Samira
Bakayoko kiwango chenyewe cha uchezaji mzuri hana abaki tu huko alipo
Neema
Bakayoko hebu fanya uamuzi sahihii
Fatina mfingi
Asanteh kwa taarifa meridianbet
Janeflora malisa
Asnt kwa taarif #meridianbet
Rehema
Asante kwa taarifa
Gabriel
Chelsea wanahitaj mabek sio washambuliaji
Khadija
chalsea wanahitaji mabeki sio washambiliaji
Povel
Bakayoko ana hofia kukaha benchi Kama atarud Chelsea ndo maana anawasisi kuliko alapo now namba huwakika kule
Issa
Bakayoko yupo poa sana lampard amchukue tu
Saupha mohamed
Good news
Furahav
Habari njema.
Hope mwaikuka
Hv yupo huyu mtu
Devotha
Maamuzi ni yake tu
Salma ngende
Maamuzi ni yake
Omary lukumbi
Bora aende milan
Venerose
Kazi ni kwake
Ester jackson
Yote sawa tu kwa sisi mashabiki
Rose kapinga
Maajabu Hana kashuka kiwango!!!
Sabrina
Bora aende milan
David Pere
Bakayoko anatakiwa kufanya uamuzi sahihi juu ya timu ya kwenda
magdalena
kama anakwenda ac milani aende moja kwa moja wasimuyumbishe
Theonestina
Duuuh