De Jong: Ndani ya Barcelona Kuna Matatizo Mengi.

Fenkie De Jong amesema kwamba aibu ya kufungwa 8-2 na timu ya Bayern Munich kwenye mashindano ya Champions League siku ya Ijumaa imeonesha ni kwa kiasi gani kuna matatizo mengi ndani ya klabu hiyo ya Barcelona.

Barca waliruhusu kufungwa goli nane kwa mara ya kwanza tangu mwaka 1946 katika michuano hiyo ya hadhi ya juu ulimwenguni na wababe wa Bundesliga Bayern Munich

Tunaweza kusema Bayern walimaliza mchezo ndani ya kipindi cha kwanza kwa kuweza kufunga magoli manne kwa moja kitu kilichofanya Barca wapoteane na kuruhusu magoli mengine manne katika kipindi cha pili cha mchezo na kufanya Barca watolewe katika hatua ya robo fainali katika Champions League kwa mara ya nne ndani ya misimu mitano.

Baada ya matokeo hayo inaripotiwa kuwa kocha Setien huenda akafukuzwa baada ya kufanya vibaya katika msimu na nyota wa Barcelona De jong ameeleza.

“Nadhani leo imejionesha kwamba tuna matatizo mengi ndani timu,” De jong ambaye huu ndiyo msimu wake wa kwanza ndani ya Camp Nou akisajiliwa kutokea Ajax, alisema “Nadhani usiku wa leo umeonesha na tunajua tunahitaji kufanya mabadiliko makubwa.

“Ni ngumu sana mashabiki wetu kutuelewa tunatakiwa tufanye mabadiliko ya vitu vingi sana.

“Tuliamini tutawapiga Bayern ndani ya dakika 15-20 kwa sababu walifunga goli mapema nasi tuka sawazisha na kupata nafasi mbili nzuri nafikiri uliona mwanzoni mwa mchezo.

“Lakini walikuwa wazuri kuliko sisi, sidhani kama ni suala la vipaji sana nafikiri ni kuweka nidhamu na kujituma tuna hitaji kubadilika.

Aliulizwa pia kama kuna timu yoyote ya kumzuia Bayern kati ya Manchester City au Lyon kwenye nusu fainali – Muholanzi huyo De jong alijibu: ” Nadhani City wana timu nzuri Lyon pia ni wzuri.


Umekuwa mteja muaminifu wa meridianbet? Kuna zawadi kibao hadi 5% ya pesa yako inarejeshwa kwako. Kila wiki unaweza kurudishiwa mpaka Tsh 250,000.

soma zaidi

Makala ijayo

47 Komentara

    Hakuna Matatizo Ni Basi tu Uwezo Unaanza Kushuka#Meridianbettz

    Jibu

    Pole yao

    Jibu

    Tatizo lipo kwa messi

    Jibu

    Siku hazifanani tu ila tatzo

    Jibu

    Uwezo ushaanza kushuka polen sana barcelona#Meridianbettz

    Jibu

    Barcelona wamekuwa na msimu mbaya sana

    Jibu

    Pole yao

    Jibu

    Ni ngumu sana kwa mashabiki kuelewa barcelonainabid wafanye mabadiliko ya vitu vingi sana.

    Jibu

    Barcelona wanahitaji nidhamu ya kujituma
    Ili wawe imara@meridianbettz

    Jibu

    Barca wameanza kushuka kiwango kwa sasa

    Jibu

    Duuuh

    Jibu

    Barcelona inasikitisha sana kwa hatua waliyofikia.

    Jibu

    Duuh poleni sana barcelona ila sasa inabidi mjue mnakosea wapi

    Jibu

    De Jong amesajiliwa kipindi si sahihi na Barcelona,ila bado ana umri mdogo akaze msuli asife moyo kwani bado wana muda wa kutengeneza kikosi upya

    Jibu

    Jana Barcelona were totally downgraded by Bayern

    Jibu

    Barcelona wameshuka kiwango

    Jibu

    Barcelona wanatakiwa wakae chini na kocha wao waangalie walipokosea wapi na pia wasitegemee MTU mmoja ndio aje kuinyanyua timu

    Jibu

    Kabla ya mchezo Bayern ilikuwa inatabiliwa kushinda dhidi ya Barcelona ilikuwa lakini si kwa goli nyingi kiasi hicho, kunahitajika mabadiliko makubwa pamoja na kuondoa wazee kama akina Gerrard Pique#meridianbettz

    Jibu

    hakuna cha matatizo wala nn ni mpira tu kubalini matokeo Barcelona wenzang 🤸🤸🤸

    Jibu

    Sikumoja moja sio mbaya mpira ukipo tea kwaio mjipange kipasavyo napenye makosa palekebishwe

    Jibu

    Tatizo Barcelona hawana kikosi kizuri wana staa tu messi na sio wachezaji na ukiangalia sana toka mapunziko ya korona wachezaji chupukizi ndio wamekuja na moto was hajabu..!messi hana uwezo sasa hivi mri nao ushaenda wangepanga usajili mkubwa kwanza ili kuimarisha timu yao daaaah…!

    Jibu

    Barca ametia aibu ulimwengu mzima ni magoli mengi Sana ukiangalia ni mashindano ya hadhi duniani de jong yuko sahihi barca wanahitaji mabadiliko makubwa Sana.

    Jibu

    Yaani mi sijaamini timu kubwa kama Barcelona wanaweza kufungwa goli nyingi vile na kama kweli wameyaona hayo matatizo ndani ya timu wafanye kuyatatua mapema sana timu itakufa

    Jibu

    Hiyo ni kama ajali barabarani. Tusiwalaumu sana

    Jibu

    Barcelona imekuwa aibu sana

    Jibu

    Kumbe bwana mkubwa alikuwepo anatia masela aiseee aibu Sana Messi duuuh

    Jibu

    jamani kazi ipo kwa barcelona

    Jibu

    Barcelona wamekuwaha mwendelezo mbaya sana

    Jibu

    Barca walipotea mechi hii bayern walitumia udhaifu wao na kumiliki sehemu ya kiungo sana

    Jibu

    Barcelona saiv hawana mabeki

    Jibu

    Barca hawana jipya tena.

    Jibu

    Matatizo ndo sehem ya maisha

    Jibu

    Matatizo ndo wanaona sasa ,baada ya kufungwa ,Timu ilisifiwa sana

    Jibu

    Barcelona mabek hakuna kabisa

    Jibu

    Yani hii barcelona imekua utopolo fc

    Jibu

    Dah!!inaumiza sana

    Jibu

    Barcelona mbovu tuu msimu huu wachezaj wengi umri umeshaenda inabid kocha atakae kuja asiangalie majina fumua kikosi kizima ijenge timu upya sasa hv Barcelona ikifanya vibaya macho yote kwa.lionel messi

    Jibu

    Mmh

    Jibu

    Maoni:kwel kabisa

    Jibu

    Yuko sahihi ila kwa upande wangu sidhani kama kunatimu ya kumzidi Bayern jinsi uwezo wake ulivyo wamejipanga kiukweli ila tusubiri kuona nani atakuwa mbabe zaidi yake dk 90

    Jibu

    Barcelona mnafeli wapi?

    Jibu

    MMmh

    Jibu

    Sio yakulaumu hinatakiwa matatizo ya Barcelona kusuruhishwa

    Jibu

    Baada ya matokeo hayo inaripotiwa kuwa kocha Setien huenda akafukuzwa baada ya kufanya vibaya katika msimu na nyota wa Barcelona De jong ameeleza.

    Jibu

    barcelona kunaweza kukawa na tatizo tena kubwa maana kungekuwa hakuna tatizo wasingekubali kupata aibu kubwa kiasi kile

    Jibu

    Pole yao

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.