Andy Murray Apoteza Matumaini na Grand Slam

Kwa mujibu wa Andy Murray, kushinda tena kwa mara nyingine taji la Gland Slam ni kibarua kizito, anaamini haitakuwa kazi rahisi.

Bingwa huyu, aliyekuwa akishindilia namba moja duniani alisema maneno hayo ya kukata tamaa baada ya kutolewa kwenye Michuano ya US Open Alhamisi.

Murray alikubali kichapo kwenye seti zote za raundi ya pili dhidi ya Felix Auger-Aliassime. Staa huyu alikuwa anacheza michuano yake ya kwanza ya kuwania Grand Slam tangia alipofanyiwa upasuaji wa paja Januari 2019 ili kuokoa karia yake kwenye michezo.

Andy Murray Apoteza Matumaini na Grand Slam
Murray ataendelea kujaribu, licha ya “Ugumu”

Murray anaamini kuwa makali yake yamepungua kutokana na yale yaliyomkuta. Hivyo hatakuwa na uwezo ule ule katika kupambana kwenye michuano ya kuwania Gland Slam.

Andy Murray

“Nilikuwa mgumu sana wakati nina mapaja ya kawaida. Hivyo, itakuwa vigumu sana kwa sasa, lakini nitaendelea kujaribu, kwa nini nisijaribu? kwa nini nisijaribu kwa bidii zaidi ili niweze? Na kama sitaweza, yote heri!”


SHINDA NA HI LO

Sasa hii ni rahisi zaidi kupata USHINDI! Unatabiri karata ipi ipo chini au juu, kisha unakusanya mkwanja wako.

Cheza sasa

23 Komentara

    andy anabidi ajitahidi sana maana anakutana na kibonde wake

    Jibu

    Andy inabidi aongeze juhudi

    Jibu

    Asante kwataharifa

    Jibu

    Ni vizuri kuona kuna Damu changa zinaleta changamoto kwenye michuano ya Tennis

    Jibu

    Andy anatakiwa aongeze juhud tu asikate tamaa#Meridianbettz

    Jibu

    Tenis michezo naikubali

    Jibu

    Ahsant meridian kwa taarifa

    Jibu

    Akitulia atakuwa sawa tu na atarudi katika mstari wake kama zamani

    Jibu

    dah usikate tamaa mapema ivyo

    Jibu

    Asanteni kwa taarifa

    Jibu

    Duu Murrey anabidi haongeze juhudi yakupambana

    Jibu

    Anahitaji kufanya juhudi
    @meridianbettz

    Jibu

    Shukrani meridiani kwa kutujuza

    Jibu

    Mmh pole.

    Jibu

    Aongeze juhudi ataweza tuu

    Jibu

    Andy pambana

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

    Akazane

    Jibu

    Asantee kwa taarifa

    Jibu

    Duuuh pole

    Jibu

    Andy inabidi afanye mazoezi ya kutosha

    Jibu

    Ni vizuri kuona kuna Damu changa zinaleta changamoto kwenye michuano ya Tennis

    Jibu

    Hatoweza Kushinda tena mana kesha kuwa na Hofu

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.