Barcelona Kupeleka Ofa ya Mwisho kwa Martinez.


Imeripotiwa kuwa klabu ya Barcelona ipo katika mpango wa kutuma ofa kwa Inter Milan ili wamsajili mshambuliaji Lautaro Martinez.

Hii ni baada ya meneja wa sasa Ronald Koeman kumfahamisha mu-Uruguay, Luis Suarez anayewindwa na Juventus kuwa hayupo katika mipango yake.

Barcelona Kupeleka Ofa ya Mwisho kwa Martinez.

Kama ilivyoripotiwa na goal, Martinez anaongoza katika orodha ya wachezaji wanaowindwa na Barcelona ukiachilia mbali pia kuna tetesi za Nyota wa Lyon,Memphis Dapay pia kufukuziwa na Barca.

Martinez amefunga mabao 30 katika michezo 84 tangu ajiunge na Inter akitokea Racing Club mwaka 2018.

Martinez ni mdogo kwa Suarez kwa tofauti ya miaka kumi(10) hivyo Barca wanaonekana kutaka kusuka upya kikosi chao na tayari kuna mazungumzo baina ya Suarez na Barcelona juu ya kusitisha mkataba wake ambao ungefikia tamati mwakani.

 

Barcelona Kupeleka Ofa ya Mwisho kwa Martinez.

Marca iliripoti kuwa Suarez ameshafikia makubaliano na Juventus ya mshahara wa Paundi milioni 9 kwa mwaka.

Kwa mujibu wa ESPN ni kwamba Suarez anafanya mazoezi pasipo kuhusika na kikosi cha wenzake sambamba na Arturo Vidal mpaka hapo muskatabali wake utakapofamika.

Barcelona tayari walishamnyakua Miralem Pjanic huku pia wakiwa wameshakamilisha dili za Pedri na Fransisco Trincao.


SHINDA NA HI LO

Sasa hii ni rahisi zaidi kupata USHINDI! Unatabiri karata ipi ipo chini au juu, kisha unakusanya mkwanja wako.

Cheza Sasa.

40 Komentara

    Barca watakua wamefanya jambo zuri sana wakimsajiri lautaro martinez.

    Jibu

    Kama ilivyoripotiwa na goal, Martinez anaongoza katika orodha ya wachezaji wanaowindwa na Barcelona ukiachilia mbali pia kuna tetesi za Nyota wa Lyon,Memphis Dapay pia kufukuziwa na Barca.

    Jibu

    Martinez anaongoza katika orodha ya wachezaji wanaowindwa na Barcelona ukiachilia mbali pia kuna tetesi za Nyota wa Lyon kufukuzwa.

    Jibu

    vizuri kama inter wakubali kumuachia

    Jibu

    Mashabiki tunashukuru kwa taarifa@meridianbettz

    Jibu

    Barca watakuwa wamefanya Jambo zuri sana

    Jibu

    Barca wamefanya kitu cha umuhimu sana

    Jibu

    Barcelona walijisahau sana toka wapewe nane wameamka sasa wazee wote wamewatoa sasa wanajenga kikosi upya

    Jibu

    Sidhani kama inter Milan wakiletewa dau nzuri wana sababu ya kukataa

    Jibu

    barca wanaonekana katika kusuka upya kikosi chao

    Jibu

    Ngoma ikiwa ngumu kwa Martinez basi Depay ananafasi kubwa sana ya kutua Barcelona.

    Jibu

    Kikubw pesa hapo ili inter wawez kufany biashara na Barcelona

    Jibu

    Barca wamchukue huyu mtu ili aje akave nafasi ya suarez

    Jibu

    barcelona waweke pesa mezani dau likiwa zuri mbona watampata tu

    Jibu

    Mamuzi yao Barcelona hayo pesa pesa inaongea

    Jibu

    Barcelona mko vizur

    Jibu

    Barcelona sasa ndio wanapambana kutengeneza kikosi

    Jibu

    Barcelona itatumia fedha nyingi kuunda kikosi cha ushindani, kwa bahati mbaya hawapo vzr kiuchumi#meridianbettz

    Jibu

    Barcelona mmefanya vizuri sana

    Jibu

    Barcelona watakuwa wamefanya jambo zuri kumsajili Martinez kwa sasa maana watakuwa wameongeza nguvu pale Barcelona

    Jibu

    Barcelona wapo vzr#meridianbettz

    Jibu

    Bora waunde kikosi kipya labda kitaleta ushindani zaidi.

    Jibu

    Barca watakua wamefanya Jambo zuri sana wakimsajili uyo dogo#Meridianbettz

    Jibu

    Barca nmewakubal

    Jibu

    habar njema

    Jibu

    Kweli koeman anataka kufanya mabadiliko makubwa ndani ya kikosi cha barca.

    Jibu

    Kweli ameamua

    Jibu

    Kikosi kitakuwa baraa

    Jibu

    Inter haiwez kumuachia huy

    Jibu

    Barca wapoo moto

    Jibu

    Barcelona wako vizuri

    Jibu

    Martinez ni mdogo kwa Suarez hivyo Barca wanaonekana kutaka kusuka upya kikosi chao na tayari kuna mazungumzo baina ya Suarez na Barcelona juu ya kusitisha mkataba wake ambao ungefikia tamati mwakani.

    Jibu

    Hbr njm

    Jibu

    Barca watakuwa wamefanya jambo la msingi sana

    Jibu

    Kila la kheri barcelona katika kujipanga kwenu,mambo yaende vizuri msijekuleta matokeo mabovu kama msimu uliopita!!!

    Jibu

    Ana maamuz magumu

    Jibu

    Hapo watakuwa wameamua kuimarisha kikosiii vizuri zaidi

    Jibu

    Hbr njemaaa

    Jibu

    Martinez anaongoza katika orodha ya wachezaji wanaowindwa na Barcelona ukiachilia mbali pia kuna tetesi za Nyota wa Lyon kufukuzwa.

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.