Erling Haaland amekuwa na kiwango sawa akiwa na umri mdogo kama ilivyokuwa kwa Lionel Messi na Christiano Ronaldo, hii ni kwa mujibu wa kocha wa Norway Lars Largeback.
Haaland mwenye umri wa miaka 20 alikuwa na msimu mzuri 2019-20 akiwa na timu ya Borussia Dortimund baada ya kusajiliwa akitokea klabu ya Salzburg mwezi Januari.
Mchezaji huyo mtaifa wa Norway alifunga jumla ya magoli 28 katika michezo 22 akiwa na Slzburg katika mashindano yote, kabla hajaongeza mengine 16 katika michezo 18 akiwa na BVB.
Dortimund wameshindwa kutwaa taji la Bundesliga tangu mwaka 2011-12 na kuwaacha Bayern Munich waendelee kutawala, lakini Haaland ameleta matumaini kwa msimu unaokuja kama Dortimund wataendelea kuwa na mshambuliaji huyo.

Haaland alihusika kwenye magoli wakati Norway ilipo iburuza Austria kwa 2-1 na kumfanya kocha Largeback aamini umuhimu na ubora alionao mchezaji Haaland.
“Huenda nimekaa muda mrefu sana sijamuona mchezaji mzuri kama huyu tangu nishuhudie kwa Messi au Ronaldo kipindi wapo kwenye umri mdogo kama Haaland,” Largeback aliongea hayo kuelekea mchezo dhidi ya North Ireland katika mashindano ya Nations League.
“Kama hatoandamwa na majeraha basi tunaweza kusema kwamba kijana atakuwa mchezaji wa hadhi ya dunia kutokana na kiwango na ubora anaoonesha.”
SHINDA NA HI LO
Sasa hii ni rahisi zaidi kupata USHINDI! Unatabiri karata ipi ipo chini au juu, kisha unakusanya mkwanja wako.


Rehema Dickson
Mmh kwa upande wangu hapa mess na Ronaldo ni miamba mingine ile aifananishwi asee
Furahav
Bado hajafika kiwango cha kuwafikia messi na Ronaldo.
Flomena
Kama hatoandamwa na majeraha basi tunaweza kusema kwamba kijana atakuwa mchezaji wa hadhi ya dunia kutokana na kiwango na ubora anaoonesha.
Latifa juma mohamed
Atakuwa bado hajafikiwa kiwango Cha Messi na Ronaldo.
rama
haongeze bidii tu anaweza fikia lekodi ya mahasimu hao
Dorophina
Sidhani kama atapata iyo nafasi ya kufikia kiwango hiko
Mwanahamisi
Bado ajafika kiwango cha messi na ronaldo
Povel
Halaand amekuwah kwny ubora sana kipind hch katika umri wake mdg natumai mbelen hatakuw na ubora wa messi$ Ronaldo hila kwa kipind hch ni vigumu kumeongeah maneno mengi kuhus yy kwn viwa go vya wachezaj vimekuwah vya kupanda na kushuk ila natumai anawezafik ubora wa magwij hao wa soka
Adelta
Messi na Ronald Ni watu hatari@meridianbettz
Antony Luseno
Uenda akafikia viwango vya akina messi na cr7 ni swala la muda
Ernest
Erling Haaland ndiye mrithi sahihi wa CR7 kutokana na aina ya uchezaji wake hili halina ubishi
felister
kila kitu ni malengo akijitahidi atakua kama messi na Ronald hakuna kinachoshindikana
Shani
Haaland ni fowad ambae akiwa kwenye kumi na nane akuachi hilo amedhihirisha mechi kumi za mwanzo akiwa na dortmund
magdalena
kuwafikia hawa vinara ni kazi kubwa sana inayohitaji juhudi za kutosha uenda akawafikia
Zeiyana
Bado hajafikia kiwango cha messi wala Ronaldo kama hataongeza jitiada haweza kuwafikia ila hapambane sana
Lydia Emmanuel Magoti
Mmmm bado kabisa sijaona majabu yake kuwafiki hao watu
Sadick
Endapo msimu Erling Haaland atakuwa moja ya top scorers wa Bundesliga saini yake itawaniwa na kila timu kubwa na bei yake itakuwa kubwa ya kutisha#meridianbettz
Sabrina
Ha aah wapi bado hajafikia hapo ajitahidi atafika tu
aisha
Haaland anauchezaji fulani ivi ameizing na ndio maana anafananishwa na messi na Ronaldo
Khadija
Hakuna kitu kama hicho#meridianbettz
Tatu
Haaland kama anataka kufika kiwango cha mess na Ronaldo itambidi aongeze juhudi kwenye kiwango chake cha kucheza na ajitume sana
Fatina mfigi
Mmmh bado sanaa!
Mwajumah
Mmh bado hajafikia kiwango Cha Messi na Ronaldo#Meridianbettz
Hope mwaikuka
Apambane sana kufikia level za kina Messi na Cr7
lombo
duuh
Shafii
Yuko vizuri ila bado hajafikia hizo hatua za kufananishwa na messi na Ronald.
Theckla
Bado sanaaa
Salma ngende
Bado hajafikia kiwango
Issa
Umakini wake kwenye kumi nane utamfanya afikie viwango hivyo
Amiri Kayera
Kwasasa wanamtwish mzg kufananish na hao watu
Saupha mohamed
Bado sana
Gabriel
Halaand amekuwah kwny ubora sana kipind hch katika umri wake mdg
Rehema
Duuuh!
Janeflora malisa
Khaaa
Sauda
Bado hajawafikia
Rose kapinga
Akaze sana sio kirahisi rahisi hivyooo!!
Nasra
Bado aongeze juhudi
Samiah
Aongeze juhudi
David Pere
Mmh kwa upande wangu hapa mess na Ronaldo ni miamba mingine ile aifananishwi asee