Simba ya Yatakata, Yanga Yavutwa Shati

Yanga wameanza kampeni ya kusaka Kombe la Ligi Kuu Soka Tanzania Bara kwa kutoka sare na Tanzania Prisons

Goli la Prisons limefungwa na Sabiyanka huku Yanga wakisawazisha kupitia kwa Sarpong.

Aidha, kwa upande wa Mabingwa Watetezi, Simba SC wao wameanza vyema kampeni ya kutetea Taji la Ligi Kuu kwa ushidi

Katika mchezo uliopigwa mapema leo Simba wameibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Ihefu FC

Mabao ya Simba yalifungwa na John Raphael Bocco na Mzamiru Yassin, huku goli la kufutia machozi la Ihefu likifungwa na Mponda


SHINDA NA HI LO

Sasa hii ni rahisi zaidi kupata USHINDI! Unatabiri karata ipi ipo chini au juu, kisha unakusanya mkwanja wako.

Cheza Sasa.

39 Komentara

    This is simbaaaaaaaa simba raha sana

    Jibu

    Mbona rahaa

    Jibu

    Rahaa iliyojee

    Jibu

    Kwa ushindi wa simba ni mwanzo mzuri katika msimu huu

    Jibu

    Pongezi kwa simbaaa@meridianbettz

    Jibu

    Congrat Simba kwa kupata point 3

    Jibu

    Kwa Simba naona mambo yapo vizuri na kwa upande wa Yanga bado wanatakiwa wampe muda Kocha kuwasoma zaidi wachezaji na kujuwa jinsi ya kuwatumia, Manara alisema mapema ili jambo la Yanga kuchelewa kupata kocha. Wapenzi wa Yanga wapunguze mchecheto ligi ndio kwanza imeanza wananafasi ya kujipanga upya.

    Jibu

    pongezi zao

    Jibu

    simba wanazidi kuonesha juhudi zao kila kukicha ila yanga maneno mengi vitendo ni sifuri
    pongezi nyingi kwa simba kwa kuonesha mwanzo mzuri na waendelee kuongeza jitihada ili watwae ubigwa kwa mara nyingine

    Jibu

    Yanga ni kwanza tunajikongoja ila si mbaya tunajenga Kikosi tupo poa ila seem kidog inahitaj marekebisho

    Jibu

    Hatari sana.

    Jibu

    Kwa upande wa yanga wanajitaidi sana sio kama yanga ile ya zamani tumeona mabadiliko mengi sana

    Jibu

    Simba ndio kiboko yao hapana chezea

    Jibu

    Simba ndio chama kubwa#meridianbettz

    Jibu

    Tatizo yanga baada ya kufanya mazoez kufuatilia habari za watu mitandaoni ona sasa walivyocheza vibaya

    Jibu

    Simba hawana mpinzan yanga wapambane sana kuifikia simba ao ni wazee wa utopolo tu#Meridianbettz

    Jibu

    Simba oyeee

    Jibu

    Simba always wako vzur

    Jibu

    asante meridianbet kwa habar moto moto

    Jibu

    Pongezi kwa simba.

    Jibu

    Yanga wameanza vibaya ila bado Wana nafasi ya kurekebisha kasoro walizonazo

    Jibu

    Yanga tunaimarisha kikosi watakaa tu

    Jibu

    Simba wanaendeleza walipoishia

    Jibu

    Simba mnyamaa

    Jibu

    yanga wanajitaidi sana sio kama yanga ile ya zamani tumeona mabadiliko mengi sana 👍

    Jibu

    Asante kwa makala

    Jibu

    Mambo bado yanga itakaasawa tu

    Jibu

    Mnyama yuko fire kinoma ndo amelianzisha

    Jibu

    Simba ni moto

    Jibu

    Hongera kwao wana msimbazi

    Jibu

    Msimbazi wamebahatisha

    Jibu

    Piga kelele kwa simba akeeeeeee!!!

    Jibu

    Pongezi kwa simba

    Jibu

    Simbaaaaaaa wamejipanga bwana,mwaka huu wataisoma

    Jibu

    Yangaa bado chama kubwa bhana. Inajinga vilivyooo

    Jibu

    Yanga bado chama kubwaa inajipangaa vilivyoo. Kitaeleweka tu

    Jibu

    Ni mwanzo mzur kwa mnyama Simba

    Jibu

    Kwa ushindi wa simba ni mwanzo mzuri katika msimu huu

    Jibu

    Simba Kiboko yao

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.