Ole Gunnar: Siyo Kazi Yangu Kuwafurahisha

Meneja wa Manchester United Ole Gunnar Solskjaer amesema kuwa siyo kazi yake kuwafurahisa wachezaji, asema “Kazi yangu ni kuchagua wachezaji, na kupata matokeo”

Wachezaji kadhaa bado hawajapata nafasi ya kuanza katika mechi za Man United. Mawakala wa Jesse Lingard wanatajwa kuwa katika mazungumzo na vilabu vingine vya ulaya, wakati Chris Smalling, Phil Jones, Marcos Rojo, Sergio Romero na Andreas Pereira wote wakiwa bado kupata nafasi kwenye mechi.

Ole Gunnar, amwewaonya kuwa wachezaji wote ambao wameanza kupoteza radha klabuni hapo wanahitaji kufanya bididii kujirejesha kwenye fomu nzuri ili waweze kuzingatiwa katika kikosi chake.

United hawajafanya sajili nyingi katika dirisha hili, wakiwa wamefanikiwa kumsajili Donny Van de Baek pekee. Suala hili linahusishwa na hali ya uchumi klabuni hapo. Lakini kwa wachezaji waliopo, lakini hawapo kwenye fomu nzuri kwa meneja huyu wanahitaji kuendelea ‘kusikilizia’ huku wanajiboresha kurejea kwenye mipango yake.

“Wachezaji wanafurahi pale wanapocheza vizuri na kupata ushindi kwenye mechi, siyo kazi yangu kuwafurahisha, kazi yangu ni kuchagua wachezaji na kupata matokeo” -Ole Gunnar

 


FURAHIA KASINO YA MTANDAONI

Tembelea ardhi ya maajabu ushangazwe na mengi ikiwa ni pamoja na urahisi wa kujipatia utajiri kupitia Kasino ya Meridianbet.

Cheza Sasa

26 Komentara

    Safi sana kocha

    Jibu

    Yupo sahihi ole

    Jibu

    Acha kujitetea mbinu ambazo mnatumia katika upangaji wa kikosi ni ule ule wa nyuma angalau mngekuwa na mbinu mbadala tatu za kufanya mapinduzi tukiangalia mchezo uliopita tumeona mkiongeza ubunifu mwengine ambao umewaletea mafanikio.

    Jibu

    Anachosema kocha ni sahihi

    Jibu

    Uko sahihi ole gunnar

    Jibu

    True say

    Jibu

    Ole makini sana

    Jibu

    Kocha lazima awe na maamuz

    Jibu

    Lazim awe na maamuzi

    Jibu

    Good news

    Jibu

    Yuko sahihi

    Jibu

    Anachosema kocha ni sahihi

    Jibu

    lazima awe na maamuzi

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Anacho kiongea kipo sahii

    Jibu

    Ole Gunner usiwachekee wachezaji.fanya kazi yako.maana ukiwachekea mtapata matokeo mabovu

    Jibu

    Safi Sana kocha

    Jibu

    Safi sana

    Jibu

    Ole Gunnar ameshapotea msimu huuu

    Jibu

    Ole yupo sahih kwenye kazi yake na anapaswa asimamie kwenye nafas yake kwa timu yeny mastaa kam man u

    Jibu

    Kocha chiz uyo

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Acha kujitetea mbinu ambazo mnatumia katika upangaji wa kikosi ni ule ule wa nyuma angalau mngekuwa na mbinu mbadala tatu za kufanya mapinduzi tukiangalia mchezo uliopita tumeona mkiongeza ubunifu mwengine ambao umewaletea mafanikio.

    Jibu

    ole bado hayuko vizuri katika kutumia mbinu nzuri za kuwapanga wachezaji wanaoweza kuleta matokeo mazuri katika timu

    Jibu

    Ole msimu huuuu wakati wake huuu

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.