Nafasi ya Mesut Ozil Ndani ya Arsenal Ni Finyu Mno

Katika Dunia ya sasa Mesut Ozil huwezi kumuacha nnje ya kikosi cha kwanza labda uwe kipofu kabisa kiasi cha kuto ona Juhudi aliyo nayo anapokua uwanjani, Ila kwa Mikel, Mesut Ozil si kitu na hafikirii kumuweka chaguo lake la kwanza kwenye kikochi cha washika bunduki, Arsenal

Mesut Ozil

Ni kwa muda sasa Mesut Ozil haonekani kwenye Kikosi cha kwanza cha timu ya Arsenal ingawa kwa mashabiki bado Ozil anahitajika, Siku za karibuni  Ozil ametajwa kurejea kwenye Ligi za Nchini Uturuki ambapo kiuhasilia ndiko nchini kwao kwakua Ujerumani ni sehemu ambayo miaka kadhaa iliyopita wazazi wake walihamia.

Rekodi za Mesut Ozil ndani ya Arsenal

Mchezaji ambaye bado yupo kwenye timu hiyo mwenye pasi nyingi za mwisho zilizosababisha magoli (Assit) Mesut Ozil ameambiwa na kocha wake kuwa ni ngumu kurejea kwenye kikosi cha kwanza cha timu hiyo baada ya kuachwa nje ya kikosi hicho kwa mechi nne mfululizo.

 

Mesut Ozil

 

Arteta amesema ni ngumu kumeza sio kwa Ozil pekee hata wachezaji wengine kwakua kila wiki yeye huchagua timu nzuri ya kushindana.

Hapo awali Ozil alikuwa anahusishwa kurejea kwao Uturuki lakini sasa pengine safari itakuwa njiani kabisa tusubiri.


FURAHIA KASINO YA MTANDAONI

Tembelea ardhi ya maajabu ushangazwe na mengi ikiwa ni pamoja na urahisi wa kujipatia utajiri kupitia Kasino ya Meridianbet.

Cheza Sasa

27 Komentara

    Ozil msimu huu umemuendea kombo kwanza kiwango cha uchezaji wake kimeshuka sana na nilazima kocha amuweke kwenye dk za ulale salama kama akijituma kama awali nafikiri atapewa nafasi ya juu

    Jibu

    Mesut Ozil anajua mpira ila kiwango chake kinashuka kwasababu hapsngwi kikosini km ilivyokua mara ya kwanza

    Jibu

    Ozil unayumba wapi sasaa. Mazoezi yanahitajika.

    Jibu

    asante meridianbet kwa habar moto moto

    Jibu

    Ozil unakwama wapi mbina kama unataka kupoteza kipaji chako

    Jibu

    Duh

    Jibu

    Hana chake asepe tu akasake timu

    Jibu

    Hatr

    Jibu

    Hatari sana

    Jibu

    Duuh atari sana

    Jibu

    Bora atafute Timi nyingine asernal wanammaliza

    Jibu

    kama vipi aende timu nyengine

    Jibu

    Hali ishakuwa mbaya

    Jibu

    Ina maana Ozil ameshuka kiwango au

    Jibu

    Duu Ozil sio mtu wakusugua benchi ila yakimzidi haangalie masilai pengine asepe tuu

    Jibu

    Arteta alichokifanya sio kizuri kitendo cha kumuweka mchezaji bechi kiwango chake cha kucheza kinashuka

    Jibu

    Mhmh

    Jibu

    Ozil vipi tRNA mbona unaniangusha

    Jibu

    Ozil uchezaji wake kimeshuka sana na nilazima kocha amuweke kwenye dk za ulale salama kama akijituma kama awali nafikiri atapewa nafasi ya juu

    Jibu

    Ozil ajipange akachez soka pahal pengine

    Jibu

    Ozil Leo ana nafax arsenal

    Jibu

    Ajipange Ozil

    Jibu

    Hapo awali Ozil alikuwa anahusishwa kurejea kwao Uturuki lakini sasa pengine safari itakuwa njiani kabisa tusubiri.

    Jibu

    Ozil msimu huu umemuendea kombo kwanza kiwango cha uchezaji wake kimeshuka sana na nilazima kocha amuweke kwenye dk za ulale salama kama akijituma kama awali nafikiri atapewa nafasi ya juu

    Jibu

    arsenal wanampa wakati mdogo sana wa kucheza itampelekea ata uwezo wake katika uchezaji kushuka

    Jibu

    Ozil atafute timu ya kucheza msimu huuu

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.