Awali, ilipangwa mashabiki takribani 11,500 wangeruhusiwa kuingia uwanjani na wiki iliyopita idadi hiyo ilipunguzwa mpaka 5,000. Tamko jipya limepunguza idadi hiyo na kuwa 1,000 kwa siku kufuatia serikali kutangaza utaratibu mpya kama sehemu ya kujilinda na COVID 19.
Mashindano ya French Open kikawaida yanafanyika mwezi Mei-Juni na mashabiki 35,000 wanakuepo uwanjani kushuhudia michezo inayochezwa kila siku. Kutokana na mlipuko wa COVID19, mashindano hayo yalisogezwa mbele na sasa yataanza jumapili wiki hii.

Shirikisho la mchezo wa tenesi nchini Ufaransa limesema, “Tangu kuanza kwa hili janga tunalolipitia kama nchi, shirikisho limekuwa likifanya kazi kwa ukaribu zaidi na idara za serikali, tukipanga ni kwa namna gani tunaweza kuendesha mashindano haya katika hali hii.
“Tunasikitika kwa hizi sheria mpya.”
Rafael Nadal atashiriki mashindano mwaka huu akiwa analisaka taji la 13 kwenye French Open. Endapo Nadal atafanikiwa kutwaa taji mwaka huu, atakuwa sawa na Roger Federer kama wachezaji wenye mataji 20 ya Grand Slam.
FURAHIA KASINO YA MTANDAONI
Tembelea ardhi ya maajabu ushangazwe na mengi ikiwa ni pamoja na urahisi wa kujipatia utajiri kupitia Kasino ya Meridianbet.


lombo
duuh corona inatunyima uhondo
Neema
Hii bado ni hataree kuhusu corona. Ila kwa ajili ya afya za wengi inabidi tukubaliane na hali yenyewe
aisha
Covid 19 imetuharibia kila pembe jamani mungu tuu atulinde
Sabrina
Sio mbaya maana tulipo toka sio tulipo sasa bora watu waingie uwanjani kuangalia michezo
Hopemwaikuka
Bado sio mbaya
Issa
Vzuri kujikinga na corona
Zahara omary
Coron inatunyima raha
Flomena
Doooo so sad
Mwajumah
Corona imevuluga Mambo na kutukosesha raha jmn
Tumaini kasalile
Covid 19 hatari Sana inatukosesha burudani
Fatina mfigi
Sio mbay kwa kweli!!
felister
Bora ata ivyo kuliko kutokuwepo kabisa
Nasra
Corona bdo ipo kujikinga lazima
Caroline
Waendelee kuchukua tahadhari Corona is real jmn
Lydia Emmanuel Magoti
Bola ataivyo kuliko kutokuwepo kabisa mashabiki
Adelta
Coronavirus sio poa
Saupha mohamed
Corona nomaa
Tatu
Corona imeleta balaa
Gabriel
Vzuri kujikinga na corona
Shani
Inabid tahadhari ichukuliwe dhid ya korona
Elika
Adah Corona hii jaman
Amiri Kayera
Sio mbaya kuliko kutokuepo kabisa
Ernest
Jambo zuri kwa ajili ya usalama wa afya za mashabiki
Samiah
Duuh corona hii
Latifa juma mohamed
Balaa zito corona inatunyima , inatukosesha Mambo mazuri lkn kwa watu 1000 uwanjani sio mbaya Sana.
David Pere
Balaa zito corona inatunyima , inatukosesha Mambo mazuri lkn kwa watu 1000 uwanjani sio mbaya Sana.
magdalena
tahadhari ni muhimu kuliko tiba huu ugonjwa si wakuchukulia masihara sana
Dorophina
Sio mbaya kwa watu hao wanatosha kabisa kuleta amsha amsha uwanjani
Tahiya
Siyo mbaya kuliko kutokuwepo kabisa
Povel
Covid 19 noma sana hiiii janga la dunia