Mikel Arteta, Kocha Mkuu wa Arsenal amesema kuwa kia wake namba moja Bernd Leno alionyesha kiwango cha hali ya juu kwenye mchezo wa Carabao Cup uliochezwa usiku wa kuamkia leo dhidi ya Liverpool.

Mchezo huo wa raundi ya 16 uliopigwa Uwanja wa Anfield dakika 90 zilikamilika bila kufungana na kupelekea kupigwa mikwaju ya penalti ambapo Arsenal ilishinda kwa penalti 5-4 za Liverpool.
Ushindi huo unakuwa wa pili kwa Arsenal kuishinda Liverpool kwa penalti baada ya mwezi mmoja kupita kwani ilisepa na taji la Ngao ya Jamii mwezi Agosti kwa ushindi wa Penalti 5-4.

Arteta amesema kuwa wana makipa wawili wazuri na wanaofanya kazi kwa umakini ndani ya Uwanja jambo ambalo linampa matumaini ya kufanya vizuri hatua inayofuata ambayo ni robo fainali na atakutana na Manchester City.
“Tuna makipa wawili wazuri ndani ya kikosi, wote wawili wanafanya vizuri ni suala la kufanya maamuzi nani nahitaji aanze. Leno amekuwa akitimiza majukumu yake vizuri ana kazi ya kuendelea hapo zaidi,” amesema.
Beti kwa Kitochi Kushinda 300,000,000!
Unajua kuwa unaweza kushinda milioni mia tatu kwa buku tu? Ndiyo! Unaweza kushinda kwa kupiga *149*10# na kubashiri. Ingia mchezoni!


lombo
mambo ni moto na meridianbet
Povel
Leno beno alikuwah kwny ubora mkubwa Sana kwny mchezo wa jana cleen sheet Kama zote pongez kwake
Sadick
Arsenal haijawahi kuwa na Golikipa mbovu,siku zote husajiri makipa wenye kiwango cha juu cha uwezo wa kulinda lango#meridianbettz
Shani
Arsenal imepata kipa mzuri sana huyu arteta amtumie vizur
Issa
Kipa mzuri sna na arteta ampe nafasi
Hopemwaikuka
Lazima aelewe tu
Sabrina
Leno mashine nyengine
magdalena
leno alionesha uwezo wake wa hali ya juu balaa arteta kuukubali ni lazima maana ulikuwa si wa kitoto
Dorophina
Leno Ni kipa mzuri sana ameisaidia arsenal kupata ushindi kwa kishindo tena kwa penalty
Sauda
Leno anajua sana
Angelina
Leno namkubali sana
Ernest
Kwa mechi ya Juzi Leno alikuwa vizuri sana kwenye LANGO na kuibeba Arsenal adi katika hatua za matuta, Ngoja tuone kama ataendeleza moto wake.
Fatina mfigi
Leno sio powah
Elika
Huyo leno mechi ya juzi alibahatisha tuu…aongeze juhudi na mazoezi zaidi
Adelta
Leno aongeze juhudi ktk kazi
Caroline
Leno yupo vizuri
felister
hongereni arsenal
Zeiyana
Kipa bora sana arsenal hawajawai kuwa na kipa mbovu hata siku moja
Amiri Kayera
Leno yupo kweny kiwango kizur san
Saupha mohamed
Leno yupo vizuri
Gabriel
Leno ni Kipa bora sana arsenal
David Pere
Arsenal haijawahi kuwa na Golikipa mbovu,siku zote husajiri makipa wenye kiwango cha juu cha uwezo wa kulinda lango