Zikiwa zimesalia siku 3 dirisha la usajili kwa wachezaji wa kimataifa kufungwa nchini Uingereza, Man United bado hali ni mbaya sana ikilinganishwa na timu zingine za EPL.
Mpaka sasa, Man United wamemsajili mchezaji 1 pekee na hakuna dalili ya kuongeza msajili yeyote japo kuwa taarifa zimekuwa nyingi wakihusishwa na wachezaji mbalimbali – Jadon Sancho, Alex Telles, Ousmane Dembele na Ismaila Sarr ni kati ya majina yanayotajwa sana.
Katika mazungumzo na waandishi wa habari kuelekea mchezo dhidi ya Tottenham, Ole Gunnar Solskjaer amenukuliwa akisema, “klabu inajua ninachokitaka”
“Dirisha la usajili bado lipo wazi kwa muda, kama kutakua na taarifa yoyote tutawataarifu. Kuna namna mbalimbali za kuboresha kikosi. Bado ninawaangalia wachezaji wanaotakiwa kucheza kuliko wasiotakiwa kucheza.
“Hii inaniambia nina kikosi imara, kuna ushindani wa nafasi. Tunahitaji matokeo, hiyo ndio njia pekee ya kuleta morali kwa wachezaji na wafanyakazi.”
Man United watakuwa na mwezi mgumu wakikabiliwa na michezo ya EPL na UEFA ndani ya mwezi mmoja.
Beti kwa Kitochi Kushinda 300,000,000!
Unajua kuwa unaweza kushinda milioni mia tatu kwa buku tu? Ndiyo! Unaweza kushinda kwa kupiga *149*10# na kubashiri. Ingia mchezoni!


Povel
United wamekuwah watu wa romance natumain kwa mwendo huu sidhan Kama watawez fany usajil kwny 3 day zilizo baki kabla ya kufungwa dilisha la usajil
Dorophina
Man u kwa hao wachezaji hawawezi kuwasajili kwa msimu huu
Nasra
Man u awana wachezaji msimu huu
Mwajumah
Asante kwa makala
Adelta
Manchester wanatakiwa wafanye usajili mpya
Lydia Emmanuel Magoti
Man U nao Wana yumba wapi mbona wamelala Sana Game kwao inakuwa imezubaa Sana usajili unawashinda Basi wa malizie ili dilisha mwisho mwisho
Ernest
Ed Woodward anatakiwa kuvunja kibubu muda sio rafiki
Sauda
Mwezi mgumu sana kwa Man U, inabidi wajipange sana tu…
lombo
asante meridianbet kwa habar moto moto
Sadick
Man U ina wachezaji bora kbs lkn bado hakujawa na muunganiko mzr wa kucheza kitimu kwa muda mrefu zaidi#meridianbettz
Shani
United intakiw ifanye usaji ili ipambane zaid
Issa
United inaongea ongea tu watu wanatak usajili
Sabrina
Man u wanayumbaaa
Hopemwaikuka
Jamanii
magdalena
united tatizo inakwamiswa na yule kivuruge sijui kwanini hawamuondoi
Angelina
Man u msimu huu wamezingua sana
Tatu
Man u wana kikosi kipana na wachezaji wazuri wao kama wao wanajitosheleza
Fatina mfigi
Mbona man wako vizur kwa wachezaji wao shida nn tena!
Elika
Man u wajipange zaidi
Caroline
Man u wanakwama wapii
felister
man u wanatakiwa wajipange upya
Zeiyana
Man u wasipo kazana kwenye usajiri tusubiri tu kuwaona wakishuka daraja maana hawana kikosi kizuri cha kupambana zidi ya wapinzani wao
Amiri Kayera
Man U wamekua c watu wavitendo
Latifa juma mohamed
Kwa muktadha huo man u watakuwa na msimu mgumu.
Saupha mohamed
Man u inabidi wajipange
Gabriel
Man u cjui wanafel wap
Tahiya
Man united mnakwama wapi kwani
David Pere
United wamekuwah watu wa romance natumain kwa mwendo huu sidhan Kama watawez fany usajil kwny 3 day zilizo baki kabla ya kufungwa dilisha la usajil
Samiah
Mnafeli wp Man