Ureno: Ronaldo Apata Corona

Wamethibitisha kuwa nyota wa Juventus Cristiano Ronaldo amepata maambukizi ya virusi vya Corona.

Nyota huyu amegundulika kuwa na virusi vya corona baada ya vipimo akiwa kwenye majukumu yake ya timu ya taifa Ureno, baada ya kucheza mechi ambayo walitoa sare ya bila kufungana na Ufaransa na Hispania.

Ronaldo

Ureno walitangaza taarifa hizi na kusema kuwa staa huyu yupo katika hatua za kutoonesha dalili zozote za maambukizi.

β€œNyota huyu wa kimataifa wa Ureno ni mzima, haoneshi dalili na yupo karantini.
Baada ya kupata kesi za maambukizi ya corona, wachezaji waliosalia wamefanyiwa vipimo zaidi Jumanne asubuhi, wote wakiwa hawana maambukizi.”


 

Unapenda kuwa shujaa?

Naam, hapa ni mahali pako! Kuwa shujaa kwenye sloti hii ya Samurai Ken ujishindie mkwanja na kujipa burudani murua.Β 

Cheza sasaΒ 

Samurai Ken Online Casino

 

28 Komentara

    Corona nayo kwao wachukulie ugonjw wa kawaid wafany majukum Yao

    Jibu

    Da jamani pole yake Ronald

    Jibu

    Korona ni shida

    Jibu

    Jamani Ronaldo mungu amfanyie wepese janga limuepuke.

    Jibu

    Duuh corona ni tishio la dunia

    Jibu

    Ugonjwa unaendelea kuwa tishio kubwa kwa wachezaji wakubwa pole ronaldo

    Jibu

    Na Imani kubwa kwamba ataponaa

    Jibu

    Duuh hii corona ni tishio sasa la dunia

    Jibu

    Pole Sana Ronald mwenyezi mungu atakuponya

    Jibu

    Corona haina mjanja

    Jibu

    hii corona balaa sana

    Jibu

    Corona hatari sana

    Jibu

    Corona imekua kwa Kasi kwenye michezo
    Yapaswa vilabu vichukue tahadhari

    Jibu

    corona hinawasili sana majirani zetu

    Jibu

    Oooh my jesus

    Jibu

    Polee sana

    Jibu

    Duuu polo Sana’a

    Jibu

    Duuh pole sana CR7

    Jibu

    Majanga pigo kubwa sana kwa wababe wa italia vibibi kizee vya tulin ,natumain get well soon cr7πŸ™πŸΌπŸ™πŸΌπŸ™πŸΌπŸ™πŸΌ

    Jibu

    Corona imekua kwa Kasi kwenye michezo

    Jibu

    Corona noma sana

    Jibu

    wapige nyungu

    Jibu

    Duu sio poa Corona inayumbisha watu Sana yani pole yake Ronaldo

    Jibu

    Corona sio poa

    Jibu

    Corona inazidi kutingisha wachezaji Ulaya

    Jibu

    Get well soon Christian Ronaldo

    Jibu

    Ugua pole

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.