Ronaldo alikosa mechi ya Ureno dhidi ya Sweden baada ya kupatikana na maambukizi ya Corona.
Kikosi cha Juventus kiliamua kujiweka karantini baada ya kiungo Weston McKennie naye kupatikana na maambukizi ya Corona.
Ronaldo alisafiri kurejea Italia na kwenda kujiweka karantini nyumbani kwake. Kulikuwa na taarifa kuwa Ronaldo anaweza kuwa alivunja masharti ya afya alipokuwa anarejea Italia kutoka Ureno.
Waziri wa Michezo, aliyekuwa akihojiwa na kituo fulani cha michezo aliulizwa kama kuna uwezekano Ronaldo alikuwa amevunja masharti aliporejea Italia, na alijibu kuwa anafikiri hivyo kwa sababu hakukuwa na ruhusa rasmi kutoka Wizarani.
Lakini kwa mujibu wa raisi wa Juventus, Andrea Agnelli hakuna sharti lolote lililovunjwa juu ya Ronaldo kurejea Italia.
Agnelli aliwaambia wanahabari kuwa “mnapaswa kuwapigia wizara ya afya na Wizara ya mambo ya ndani, wawaeleze ni sharti lipi lililovunjwa.”
Juventus waliweka wazi kuwa Ronaldo amerejeshwa kwa ndege ya matibabu iliyoidhinishwa na mamlaka ya wataalamu wabobezi wa afya.
Naam, hapa ni mahali pako! Kuwa shujaa kwenye sloti hii ya Samurai Ken ujishindie mkwanja na kujipa burudani murua.



Caroline
Kusafiri na corona ni very risk.uko Safarini unaeza kuambukiza wenzako
Lydia Emmanuel Magoti
Vizuri Ronaldo alicho kifanya kuondoka kwenda kujiweka Carantin mwenyewe lakini kwasheria yakaz inatakiwa kuwasikiliza huongozi wake wa krabu kumfanyia uchunguzi pale pale Juventus
zeiyana
Ronaldo halicho fanya si vyema kabisa kuweka hatarini afya za watu wengine ukisafiri kuna watu wengi unakutana nao hinaitajika taadhari kubwa na hili gonjwa
magdalena
ronaldo alifanya makosa sana kwa kitendo iko
Mwajumah
Ronaldo hajafanya vizuri kabisa kwan anahatarisha afya za wengine
Elika
Kwa jicho alichokifanya lonaldo sio vizur
Tatu
Ndiomaana maambukizi ayapungui itary
Gabriel
Safarini unaeza kuambukiza wenzako
Dorophina
Ronaldo amevunja vigezo na masharti wampe dhabu tu
Sauda
Ronaldo amekosea sana
Mariam mtandama
Duuuh
lombo
noma san
Povel
Sheria ifuate mkondo wake hapo
Sabrina
Duuh hatari hiyo kusafiri na Corona nihatari sana maambukizi yanazidi
Issa
Wachezaji wanatakiwa wafate sheria za. Korona kujikinga zaid ili kuepuka maambukiz zaid
Hopemwaikuka
Sio poa
Neema
Duu hii nomaa sana
Fatuma kasomo
Nomaa
Janeflora malisa
Sheria muhim
Angelina
Ronaldo amezingua
jullie
kafeli jamaa
Fatina mfingi
Ronaldo kazingua kinom
Adelta
Mashabiki wanamsamehe Ronald kwa kitendo alichofanya
Amiri Kayera
Corona Kwa namna hiyo kila mtu anayo
aisha
Duuh majanga ayo
Venerose
Hayo ni majanga
Saupha mohamed
Hakufanya sahihi
Ernest
Kazi ipo hapa
Sadick
Corona imeongeza hofu ya watu kukutana na kufanya gharama za uendeshaji kuongezeka mno