Winga wa Chelsea, Victor Moses ameianza rasmi safari yake na klabu ya Spartak Moscow kwa mkopo.
Nyota huyu ameungana na klabu hii tayari kuitumikia kwa msimu mzima, huku mkataba wake ukiwa na chaguo la kufanya dili la kudumu.
Staa huyu mwenye miaka 29 inaonekana ameshindwa kumshawishi bosi Frank Lampard. Ametumia msimu uliopita kwa mkopo Fenerbahce na Inter Milan.
Nyota huyu hajaichezea klabu yake ya Chelsea kwa zaidi ya miaka miwili, na safari yake kwenda Urusi ni safari ya sita Kucheza nje ya Chelsea tangu alipojiunga na Chelsea mwaka 2012.
Spartak Moscow watakuwa na uwezo wa kumsajili kwa mkataba wa kudumu ikiwa watavutiwa na huduma yake kwa wakati ambao atakuwepo klabuni hapo.
Naam, hapa ni mahali pako! Kuwa shujaa kwenye sloti hii ya Samurai Ken ujishindie mkwanja na kujipa burudani murua.



magdalena
kila la kheri kijana
Mwajumah
Kila la kheri kwake
zeiyana
maisha popote
Tatu
Popote kambi
Gabriel
Victor Moses Safar njema kambi popote straika achagui kambi
Sauda
Piga kaz kijana
Dorophina
Kila lakheri Moses katika safari yako mpya
lombo
habar njema
Mariam mtandama
Habari njema
Povel
Viktoria MOSES amekuwah co kiwango kizur Sana katika misimu ya hv karibu ndo maana kinamfany kukos nafas ndani ya the blues vle vle anaonekan mchezaj anayepelekwa kwa mkopo timu tofaut tofaut kila la kheri moses viktoria one day yes
Sabrina
Kapige Kazi kaka
Elika
Kambi popote
Issa
Viktor moses amekua kwenye kiwango kibovu sana na majeraha yamemfanya awe nje ya uwanja
Hopemwaikuka
Yote sawa
Neema
Popote kambi
Fatuma kasomo
Habari njema
Janeflora malisa
Ni sawa t
Angelina
Kila kheri
Fatina mfingi
Kambi popote
Lydia Emmanuel Magoti
Vizuri piga kazi kila la kheri
Amiri Kayera
Kwa ligi hii atapata usajir wakudum
Venerose
Fanya kazi kijana
Saupha mohamed
Kil l a kheri
Mwanahamisi
Kila la kheri
Ernest
Victor Moses amepotea ghafla sana kwenye ulimwengu wa Soka
Sadick
AntoniO Conte aliyekuwa kocha wa Chelsea msimu wa 2016/2017 alimutumia kwa mafanikio makubwa mno hadi kuipa ubingwa wa ligi EPL