Tetesi za Soka Barani Ulaya.


Tetesi zinasema Juventus iko tayari kubadilishana wachezaji ambapo mpango huo utamfanya winga wa Juvetus Christiano Ronaldo kujiunga na PSG huku mshambuliaji wa Brazil Neymar akielekea Juventus.

Hatahivyo , Ronaldo anafikiria kurudi katika klabu yake ya zamani Manchester United.

Babake Lionel Messi ambaye pia ni ajenti wake amekana ripoti kwamba mshambuliaji huyo ana mipango ya kujiunga na PSG kutoka Barcelona msimu.

Tetesi zinasema Manchester United inapanga kumuuza kiungo wa kati wa Ufaransa Paul Pogba 27 wakati wa dirisha la uhamisho la msimu ujao.

 

Tetesi za Soka Barani Ulaya.

Tottenham Hotspur imeanza mazungumzo na mshambuliaji wa Korea kusini Son Heung -min . Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 28 huenda akapatiwa kandarasi ya hadi 2026 yenye thamani ya £200,000 kwa week.

Kiungo wa kati wa Liverpool Georginio Wijnaldum, 30, bado hajatia saini kandarasi mpya . Mkataba wa raia huyo wa Uholanzi katika klabu hiyo unakamilika mwisho wa msimu huu.

Mkufunzi wa Barcelona Ronald Koeman amesema kwamba Wijnaldum huenda akahitajika katika siku zijazo na mabingwa hao wa Uhispania.

Liverpool imehusishwa na uhamisho wa beki wa Austria David Alaba lakini Bayern Munich haitamuuza mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 28 , mwezi Januari , licha ya kabdarasi yake kukamilika msimu huu.

 

Tetesi za Soka Barani Ulaya.
 

Beki wa Burnley James Tarkowski anasema kwamba ofa ya mkataba mpya haijamfurahisha . Mchezaji huyo wa England , mwenye umri wa miaka 27 anasema kwamba hana hamu ya kuweka kandarasi mpya na Clarets.

Tetesi zinasema Arsenal ina hamu ya kumsajili beki wa kati wa klabu ya RB Leipzig na Ufaransa Ibrahima Konate, 21, na kiungo wa kati wa Ufaransa Christopher Nkunku, 22.

Tetesi zinasema Athletic Bilbao inafikiria kumsajii aliyekuwa mkufunzi wa Tottenham Muaricio Pochettino kama mkufunzi wao.

Tetesi zinasema Crystal Palace na Aston Villa zote zina hamu kumsajili winga wa Benfica na Portugal Fabio Baptista, 19.


UMEJARIBU HII POKER YA VIDEO?

Jaribu sasa hapa Meridianbet. Ukiacha ukweli kuwa itakupa burudani maridadi, bado inakuhakikishia ushindi mkubwa. Kazi kwako kukusanya ushindi!

Meridianbet Casino

INGIA MCHEZONI!

17 Komentara

    ronaldo bora aende tu united kama mawazo yake yanamtuma ivyo

    Jibu

    Huyo ronaldo nae mbona anachanganya vichwa sasa

    Jibu

    Ilikuwa kwa messi katuchangany vichwa now ronald popote aende cc mashabik wake tutamfat

    Jibu

    Hapo kazi ipo ngoja tuone

    Jibu

    Ronaldo nae anaanza kutuchanganya sasa

    Jibu

    Man u Ni bora tu wamuuze pogba

    Jibu

    Ronald atulie sehemu moja mbona anashida sana

    Jibu

    Psg wanamtaka ronaldo kwa mda mrefu

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

    Nice update

    Jibu

    Kilamtu atulie anapo paona Pana mfaa aupige mpila

    Jibu

    Asante kwa taarifa meridianbet

    Jibu

    Good news

    Jibu

    Ronaldo na Neymar wanabadilishana

    Jibu

    Saf

    Jibu

    Safi Asante kwa tahalifa

    Jibu

    Nice information

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.