Klabu ya Pyramids ya nchini Misri imejitosa katika mazungumzo ya kunasa saini ya straika Mario Balotelli ( 30 ).
Mshambuliaji huyo wa zamani wa Inter Milan, Man City , AC Milan na Liverpool kwasasa hana timu baada ya kuondoka Brescia , Julai 2020.

Hata hivyo hatakuwa Balotelli mchezaji wa kwanza kujiunga na vilabu vya barani Afrika baada ya mapema wiki iliyopita mchezaji wa zamani wa Arsenal na Barcelona Alex Song kujiunga na klabu ya nchini Djibouti.
Mario pia aliwahi kutajwa na jarida maarufu kuwa ni moja ya vipaji vikubwa duniani katika mchezo wa kandanda klaba ya kugeuka nakuwa kipaji kilichosumbua dunia.
Jaribu sasa hapa Meridianbet. Ukiacha ukweli kuwa itakupa burudani maridadi, bado inakuhakikishia ushindi mkubwa. Kazi kwako kukusanya ushindi!



magdalena
jambo jema kama wameamua kujitosa kikubwa mkwanja tu wa kutosha
Elika
Vizur chamsing ni kuangalia maslahi tu
Fatina mfingi
Ni Jambo njema kikubwa malidhian
Shakila mrope
Ni vizuri kikubwa mipesa tu
Adelta
Ni Jambo jema kwao
Dorophina
Itakuwa poa baloteli akienda huko Misri
Nasra
Safi sana
Khadija
Kafanya jambo zuri kwenda uko
Tatu
Popote kambi ww nenda kapige kazi
Carolyn
Balotel anajua
Mwajumah
Itakua pow sana Balotel akienda huko misri
Angelina
Ntafurahi sana akipata nafasi huko Misri
Samira
Imekaa poa kwake
Lydia Emmanuel Magoti
Vizuri kikubwa masilai tuuu mapambano yanaenderea
Fatuma kasomo
Kambi popote
Saupha mohamed
Jambo jema
Sabrina
Fresh tu
Janeflora malisa
Safi
Rahma
Kikubwa pesa tu
Povel
Kila la kheri Pramid Kama watapata saini ya mchezaji huyo