City Wanaunga Tela kwa Juve Saini ya Locatelli

Manchester City wanaripotiwa kuwa wamungana na Juventus kwenye mbio za kuiwania saini ya kiungo wa Sassuolo Manuel Locatelli kwa dau la €35m.

Nyota huyu ambaye ni zao la akademi ya soka ya vijana ya Milan amefikisha umri wa miaka 23 tu wiki iliyopita, na mpaka sasa tayari ameshacheza mechi 6 za timu ya taifa ya Italia.

Juventus hawakuweka siri juu ya adhma yao ya kumtaka Locatelli, ambaye amecheza jumla ya mechi 126 za Serie A mpaka sasa akiwa na magoli sita na pasi za mwisho tisa.

City Wanaunga Tela kwa Juve Saini ya Locatelli
Locatelli

Sasa kwa mujibu wa Daily Mail, pia jicho la Man City wa Pep Guardiola limetua kwa staa kinda huyu. Wakala wake Stefano Castelnuovo alinukuliwa akisema;

“Tuna uhusiano mzuri sana na Sassuolo, klabu ina mipango mikubwa sana. Tutaona nini kitatokea, kama ofa nzuri ikija, itakuwa ni heri kwa kila mmoja kufikia makubaliano”

“Lakini wakati wote tutawashukuru Sassuolo. Atawashukuru Milan wakati wote pia lakini nadhani atakuwa anatafuta changamoto mpya, Italia au nje ya Italia. Ana ndoto ya kucheza Ligi ya Mabingwa, bila shaka yeye na Sassuolo watapata zawadi msimu wa joto.


 

JIUNGE NA FAMILIA YA MERIDIANBET BURE!!!!

Ndio, kwetu Mteja ni mfalme. Jiunge sasa na familia ya Meridianbet bila malipo yeyote na sisi tutakuzawadia bonasi ya shilingi 3,500 kama sehemu ya kukukaribisha kwenye familia hii BURE!!!. Unasubiri nini??

BOFYA HAPA

13 Komentara

    Vizuri san

    Jibu

    Good

    Jibu

    Scout ya Man City ipo makini na hubaini wachezaji mahiri ktk klabu yao. Utakuwa uasjiri makini

    Jibu

    Locatteli ni mchezaji mzuri Sana

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Locatelli ni bora haelekee city

    Jibu

    Maamuzi ni yake

    Jibu

    Safi

    Jibu

    maamuzi anayo yeye

    Jibu

    Vizuri

    Jibu

    Yuko vzur

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Imekaa poa sana

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.