Pochettino Abeba Taji Kwa Mara Ya Kwanza.

Mauricio Pochettino kwa mara ya kwanza amebeba kombe kwenye maisha yake ya kuwa kocha. Muagentina huyo ameondoa ukata baada ya PSG kuwaburuza Marseille jana usiku.

PSG walikuwa wakichuana na Olympic Marseille kwenye fainali ya kombe la Trophee des Champions ukiwa ni mchezo wa 3 kwa Pochettino tangu akabidhiwe kikosi cha timu hiyo.

Trophee des Champions ni kama kombe la Ngao ya Hisani kule EPL ukimkutanisha bingwa wa ligi dhidi ya bingwa wa kombe la ligi kwa msimu uliopita.

Mauricio Pochettino (kushoto) akiwa na vijana wake wa PSG baada ya ushindi dhidi ya Marseille.

Magoli ya Mauro Icardi na Neymar Jr yaliwatosha PSG kuwazidi kete Marseille licha ya Dimitri Payet kupachika goli 1 la kufutia machozi.

Ushindi kwa PSG umeendeleza umwamba wa timu hiyo kwenye soka la Ufaransa, hili linakua kombe la 19 kati ya 20 ambayo PSG wamecheza hatua ya fainali kwenye mashindano ya ndani. Hii ni mara ya 8 mfululizo kwa PSG kubeba taji la Trophee des Champions.


MERIDIANBET INAKUPA NAFASI YA KUWA MILIONEA KWA KILA BAADA YA DAKIKA 5

Mchezo wa Keno unakupatia fursa ya kuibuka kidedea kupitia droo zinazochezwa kila baada ya dakika 5 tu!! Tunaposema Meridianbet ni nyumba ya mabingwa, tunamaanisha!!

INGIA MCHEZONI

16 Komentara

    Habari njema

    Jibu

    Hongera Pochettino

    Jibu

    Hongera PS. Ni mwanzo mzuri kwa Pochettino, wahenga wanasema nyota njema huonekana asubuhi

    Jibu

    Hongera sana Pochettino

    Jibu

    Pongezi kwako pochettino

    Jibu

    Safi Sana kwa kazi nzuri

    Jibu

    Pongezi kwao PSG

    Jibu

    Hongera

    Jibu

    Hongera zao

    Jibu

    Huyu ndie kocha

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Vizuri

    Jibu

    pongezi kwk

    Jibu

    Hongera zenu

    Jibu

    Pongezi kwao

    Jibu

    Hongera yake

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.