Mario Mandzukic Atua AC Milan.

Klabu ya AC Milan imetangaza usajili wa mshambuliaji Mario Mandzukic ambaye anajiunga na timu kwa mkataba wa miezi 6 kukiwa na uwezekano wa kuongeza mwaka 1 zaidi.

Mandzukic anatua Milan kama mchezaji huru. Hii ni baada ya kuachana na klabu ya Al-Duhail ya nchini Qatar ambayo aliitumikia kwa mwaka mmoja akifunga goli 1 katika michezo 7.

Kabla ya kujiunga na Al-Duhail, mshambuliaji huyu aliitumikia Juventus kwa miaka 5 na sasa anarudi kwenye Serie A akiwa na AC Milan ambapo atavaa jezi namba 9.


USHINDI UPI NI MKUBWA KWAKO, £2,000,000? 🤑

Pokea mualiko wa Meridianbet na Pragmatic Play kutengeneza mkwanja kwenye kasino ya mtandaoni sasa. Jiunge sasa kupata ishindi huu.

INGIA MCHEZONI

15 Komentara

    AC Milan inazidi kujidhatiti msimu huu wapo serious sana

    Jibu

    Asante kwa taalifa

    Jibu

    Habari njema kwa mashabiki wa AC milan

    Jibu

    Ac Milan imefanya Jambo jema sana

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Mario Mandzukic bado ana uwezo wa kuendelea kucheza Serie A

    Jibu

    AC.milan wako bomba kwa kweli

    Jibu

    Habari njema kwa mashabiki wa ac milan

    Jibu

    Nice

    Jibu

    safi

    Jibu

    Jembe hilo

    Jibu

    Habari nzuri

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Safi Sana

    Jibu

    Mbona wamempa mda mchache sana

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.