Kinda wa Brighton Andrew Moran ameibuka kuwa shabaha ya usajili wa majira ya joto wa timu ya Manchester United na Chelsea ambazo zote zimeonesha kutaka kunyaka saini ya mchezaji huyo.
Moran ana umri wa miaka 17 tu na ancheza katika akademi ya Brighton na akiwa huko ameonekana kiwango kikubwa sana, kiasi cha skauti wa Manchester United na Chelsea kuanza kumnyatia mchezaji huyo raia wa Ireland.
Moran bado hajapata nafasi ya kuanza katika kikosi cha wakubwa cha Brighton lakini kutokana na uwezo mkubwa anaweza kuanza kuchezea kikosi hicho.
Maisha ya baadae ya kinda huyu yanaanza kuonekana kuwa mazuri ukizingatia ukubwa wa vilabu viwili hivi vinavyohitaji saini yake, japokuwa huwa inakuwa ngumu sana kwa mchezaji mdogo na mgeni kupata wakati wa kucheza kwenye vilabu vikubwa kama hivi.
KWANI MERIDIANBET WANASEMAJE! MKWANJA UPO KWENYE KASINO MPYA YA MINI POWER ROULETTE.
Unawezaje kukosa ubingwa ndani ya kasino hii maridhawa, Nafasi ya kushinda mkwanja ni kwa kila mtu, Meridianbet inakupa nafasi ya kuwa mmoja ya washidi leo, unasubiri nini?



dorophina
Mwenye kisu kikali ndio atakayekula nyama
aisha
wasimchanganye aende anakotaka yeye mwenyewe
Venerose
Moran aangalie wapi penye maslahi
Elika
Kambi popote
Issa
United chukua watu wa kaz
Sarah
Maamuzi ni yake mwenyewe
Magdalena
Waweke mkwanja mezani
Lydia Emmanuel Magoti
Waweke pesa hapo
Sania mapua
Tunasubiri maamuzi yake