Eric Bailly amesaini mkataba mpya na Manchester United utakao mbakisha mpaka mwaka 2024 mwezi Juni.

Dili iliyopita ya Bailly ilikuwa iishe mwishoni mwa msimu ujao lakini mchezaji huyo wa miaka 27 amekubali kuongeza muda wa kukaa huko Old Traford.
Beki huyo wa kati wa Ivory Coast ambaye katika mktaba wake kuna kipengele kinacho mruhusu kuongeza mwaka mmoja zaidi amecheza michezo 15 kwa United lakini amekuwa akikabiliwa na majeraha sana.
“Nina furaha sana, maamuzi haya ni kitu ambacho hata nilikuwa sijafikiria naipenda klabu hii na ninapenda kuichezea Manchester United,” alisema Bailly
“Kila kitu kipo vizuri sasa kipindi cha majeraha kimepita nipo sawa na najihisi vizuri hivyo tu.
Bailly amabye alijiunga na Manchester United akitokea Villarreal kwa ada ya £30m mwaka 2016 alikutwa na maambukizi ya Coronavirus wakati alipokuwa kwenye majumu na timu ya taifa.
Aliulizwa kama kutwaa taji la Premier League ni kitu watakacho kipigania msimu ujao alijibu: “Nina amini nina amini naamini katika wachezaji wenzangu tupo vizuri vijana wadogo tutapambana.
KWANI MERIDIANBET WANASEMAJE! MKWANJA UPO KWENYE KASINO MPYA YA MINI POWER ROULETTE.
Unawezaje kukosa ubingwa ndani ya kasino hii maridhawa, Nafasi ya kushinda mkwanja ni kwa kila mtu, Meridianbet inakupa nafasi ya kuwa mmoja ya washidi leo, unasubiri nini?



Magdalena
Safi Sana Karibu
Theonestina
Safi karibu sana
dorophina
Kila lakheri eric
Khadija
Safi sana
aisha
Bonge la dili
Venerose
Hongera sana Erick
Saupha
Karibu sana
Issa
Jembe linabak united
Sarah
Safi sana
Lydia Emmanuel Magoti
Vizuri
Sania mapua
Hongera sana