TFF Watoa Tamko, Simba Vs Yanga

Shirikisho la Soka Tanzania, (TFF) limetoa taarifa kuhusu mchezo wa jana Mei 8, Simba v Yanga, Uwanja wa Mkapa.

Katika haliyo isiyotarajia mechi ya Simba Vs Yanga iliyopangwa ichezwe saa 11:00 jioni lakini muda ulibadilishwa na kuwa saa 1:00 usiku na kupelekea timu ya Yanga kugoma wakitaka mechi ichezwe muda uliopangwa awali.

tff

Katika taarifa hiyo TFF wameitaka bodi ya Ligi kutoa taarifa kuhusu kuhairishwa kwa mechi hiyo, pamoja na kushughulikia hatma ya wapenzi wa soka waliolipa viingilio vya mechi hiyo.

 


TENGENEZA FAIDA KUPITIA MCHEZO WA TITAN DICE UKIWA NA MERIDIANBET KASINO

Unapokuwa kwenye Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, huna sababu ya kucheza kwa mashaka. Titan Dice, ni mchezo unaweza kukupatia mamilioni kwa mzunguko mmoja!

SOMA ZAIDI

17 Komentara

    Bodi ya ligi wamezingua saaanaa tena sanaa

    Jibu

    Yanga wapo sahihi sana

    Jibu

    Kwakweli wamefanya vibaya sana uongozi unabidi warudishe hela za mashabiki

    Jibu

    Yanga kwani nyinyi mnasemaje

    Jibu

    Viingilio vyetu inakuwaje sasa

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Sio poa kabisaa

    Jibu

    Big up yanga kwa kusimamia sheria na kanuni za soka.

    Jibu

    Yanga atutak blaa blaa

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Mambo ya kandanda hayo

    Jibu

    Mambo ni moto

    Jibu

    Wamezinguwa hao TFF

    Jibu

    Soka letu sijui linaelekea wapi

    Jibu

    Yanga wamezingua

    Jibu

    Tff wanazinguaa

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.