Benitez Kutua Everton Kama Kocha Rasmi

Rafael Benitez anatarajiwa kutangazwa kama kocha wa timu ya Everton akichukua nafasi ya aliyekuwa kocha wa timu hiyo, Carlo Ancelotti ambaye amerejea klabu ya Madrid baada ya Zidane kujihudhuru.

Everton inajulikana kuwa timu ambayo haipendi sana kufanya uchaguzi wa makocha wake kabla ya kuwaajiri lakini hii inaweza kuwa tofauti mwaka huu ambapo uteuzi wa kocha Benitez unaweza kufanyika rasmi wiki ijayo.

Kocvha huyu anajiunga na Everton akitokea DL Pro ya Uchina. Kabla ya klabu hii Rafa aliwahi kuwa kocha wa Madrid na baadae Newcastle United.


USHINDI BILA MIPAKA!

Hakuna mipaka ya ushindi kwenye Keno Instant ya meridianbet Kasino, hii wewe ndiyo una uamuzi zaidi juu ya mchezo na nafasi ya machaguo kibao.
Arsenal, Arsenal Wawasilisha Ofa ya Pili Joaquin Correa., Meridianbet

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.