Dirisha La Usajili 2021/2022 Lafunguliwa - TFF

Taarifa rasmi kutoka kwenye ukurasa wa Instagram wa TFF unaeleza kuwa dirisha la usajili na uhamisho wa kimataifa umefunguliwa rasmi leo.

Taarifa hiyo kutoka TFF inakuja ikiwa ni siku moja tu toka ligi kuu Tanzania bara maarufu kama VPL kumalizika jana na Simba kubeba kombe kwa mara ya nne mfulululizo.

TFF wameeleza kuwa dirisha hilo la usajili litakuwa wazi kwa ligi kuu VPL, Daraja la kwanza (FDL), Daraja la pili (SDL) na ligi ya wanawake ya Serengeti lite (SWPL).

Aidha TFF wameongeza kuwa dirisha hili la Usajili litafungwa rasmi Agosti 31 mwaka 2021 na hakutokuwa na muda wa ziada endapo timu zitakuwa hazijafanya sajili ndani ya muda huo.

FURAHIA KASINO MTANDAONI HUKU UKITENGEZA MKWANJA!!

Kasino ya Mayan Eagle inakukufanya kuwa bingwa wakati wowote unapoamua kuicheza. Utaburudika huku ukiendelea kutengeza mkwanja mrefu, jiunge sasa na uwe miongoni mwa mabingwa!!

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

CHEZA HAPA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.