Atletico Madrid imethibitisha usajili wa Matheus Cunha kutoka Hertha Berlin ikiwa Los Colchoneros walilikuwa wakitafuta mshambuliaji na hatimaye wamempata Cunha.

Mchezaji huyo wa miaka 22 anaweza kuwa hayuko kwenye sura ya Luis Suarez, badala yake alikuwa na mtindo wa kucheza sawa na ule wa Angel Correa, lakini ameletwa Atletico kukamilisha lengo la Diego Simeone.
Kuwasili kwake kunakuja baada ya Atletico kushindwa kufikia makubaliano na Fiorentina kwa Dusan Vlahovic, ambaye ni Nambari 9 ya kawaida. Mapema katika msimu wa joto Los Colchoneros pia walikuwa wamejaribu kuona kama wangeweza kumnasa Antoine Griezmann, lakini hakuna makubaliano yaliyofikiwa.

Cunha aliondoka Brazil akiwa na miaka 18 alipojiunga na Sion ya Uswisi, lakini hakukaa hapo kwa muda mrefu kwani kiwango chake kiliwavutia RB Leipzig, ambao walilipa euro milioni 15 kumpata.
Baada ya msimu moja na nusu huko Leipzig, Cunha alihama kwenda Hertha kwa ada ya euro milioni 18. Sasa, miezi 18 baadaye, amekamilisha kuhamia Atletico Madrid.
Unawezaje kuikosa hii! Ndani ya kasino za meridianbet kuna mchezo unaoweza kukupa mkwanja mrefu leo hii, Wild Hot 40 ni njia nyingine ya kukufanya milionea, Chagua namba yako na uvune mkwanja.



Issa
Simeon anatak ucl