Mashabiki wa sehemu mbalimbali duniani kwa sasa wansubili kumuona Xavi akiwa kwenye benchi la Barcelona na kubeba mzigo uliowashinda wenzia kwenye viunga vya Camp Nuo.
Baada ya kufanya vizuri nchini Qatar na style ya tiktak ambayo iliasisiwa na Johan Cryuf na kutumiwa vizuri kabisa na kocha wa kihispania Pep Gurdiola sasa mashabiki wanahamu ya kuona Xavi akiirudisha tena kwenye viunga vya Camp Nou.

Barcelona wikiendi hii wanawakaribisha klabu ya Espanyol lwenye dimba la Camp Nou huku baadhi ya wachezaji nao wakirejea kutoka kwenye michezo ya kimataifa na wale majeruhi Pedri and Dembélé wakitarajiwa kurudi kwenye mchezo wa ligi ya mabingwa dhidi ya Benfica.
Xavi tokea achukue mikoba ya kuinoa klabu hiyo amefanya mabadiliko makubwa huku akitumbua majipu ambayo alihisi ni kikwazo kwa mafanikio ya Barcelona.
Unasababu milioni za kucheza unavyotaka ukiwa na mabingwa meridianbet, lakini unasababu moja ya kushinda mamilioni katika kasino za mtandaoni za meridianbet. Mchezo maridhawa wa Crazy Time unakupa sababu hizo kuwa mmoja wa washindi leo hii.


