Real vs Juventus kwa Julian Alvarez!

Nyota wa River Plate Julian Alvarez emeingia kwenye rada za vilabu vya Juventus na Real Madrid.

Nyota huyu amekuwa kinara kwenye klabu ya River Plate kwa sasa, na kwa mujibu wa ripoti ya Marca nyota huyu amevivutia vilabu vyote viwili.

Wakala wa Alvarez, Fernando Hidalgo, anaripotiwa kuwa alikutana na klabu yake ya sasa kwa ajili ya mipango ya mkataba mpya.

Kwa mujibu wa ripoti, katika mazungumzo ya Hidalgo na klabu, imekubaliwa ada ya €20m kwa malipo ya mara moja kwa msimu ujao wa uhamisho ikiwa ni masharti ya staa huyu kuhamia Ulaya.

Real vs Juventus kwa Julian Alvarez!
Julian Alvarez

Hata hivyo, taarifa zinasema kuwa staa huyu yeye hana haraka ya kutaka kuondoka. Na imani yake ni kuwa uwepo wake Argentina unamuweka kwenye nafasi nzuri zaidi ya kuitwa kwenye kikosi cha timu ya taifa kushiriki Kombe la Dunia.

Vilabu vya Fiorentina, Milan na Bayer Leverkusen pia vinaripotiwa kufuatilia kwa ukaribu maendeleo yake.

Wakati wake wa soka la kulipwa wote, Alvarez ameutumia kuwa na River Plate, akiwa amecheza mechi tano tu za timu ya taifa katika umri wa miaka 21.

Pia, Alvarez amechangia magoli 31 na asisti 23 kwenye mechi 90 akiwa na River.


WIKI NJEMA NA CRAZY TIME CASINO!

Unasababu milioni za kucheza unavyotaka ukiwa na mabingwa meridianbet, lakini unasababu moja ya kushinda mamilioni katika kasino za mtandaoni za meridianbet. Mchezo maridhawa wa Crazy Time unakupa sababu hizo kuwa mmoja wa washindi leo hii.

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

CHEZA HAPA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.