Eric Garcia: Ninamuona Guardiola kwa Xavi

Nyota Eric Garcia amemfananisha meneja mpya wa Barcelona Xavi Hernandez na Pep Guardiola na Luis Enrique.

Eric Garcia amefanya kazi chini ya meneja Pep Guardiola akiwa Manchester City, ambao aliachana nao na kurejea Barcelona. Nyota huyu pia alifanya kazi na Luis Enrique kwenye timu ya taifa ya Hispania.

ERic Garcia na Pep Guardiola
ERic Garcia na Pep Guardiola – Man City

Xavi ameanza majukumu mwisho wa wiki iliyopita, lakini tayari joto la mabadiliko limeanza kuonekana Barcelona.

Eric Garcia
Eric Garcia – Barcelona

Kwa mujibu wa Garcia, Xavi ni mtu sahihi kuiongoza Barcelona kwa sasa.

“Ni mtu sahihi kuiongoza Barcelona. Kwa Xavi ninaona vitu kutoka kwa Pep (Guardiola) na Luis Enrique pia. Ni legendari wa timu na kocha mzuri.” – Garcia

Lakini pia Garcia alimzungumzia mtangulizi wa Xavi kuwa kwa upande wake alimsaidia katika vitu mbalimbali mpaka alipofikia sasa. Akimzungumzia Ronald Koeman alinukuliwa akisema

“Kwa upande wangu, alinisaidia sana na sina maneno zaidi ya kusema ahsante.” Garcia

Kibarua rasmi cha Xavi kinaanza pale kikosi chake kinapokutana na Espanyol jumamosi hii.


WIKI NJEMA NA CRAZY TIME CASINO!

Unasababu milioni za kucheza unavyotaka ukiwa na mabingwa meridianbet, lakini unasababu moja ya kushinda mamilioni katika kasino za mtandaoni za meridianbet. Mchezo maridhawa wa Crazy Time unakupa sababu hizo kuwa mmoja wa washindi leo hii.

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

CHEZA HAPA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.