Cesar Azpilicueta Akubaliana na Barcelona

Kapteni wa klabu ya Chelsea ameripotiwa kukubaliana na klabu ya Barcelona kujiunga nayo ambapo mkataba wake utakapo malizika na timu yake ya sasa mwisho wa msimu.

Cesar Azpilicueta alijiunga na Chelsea akitokea klabu ya Marseille inayoshiliki ligi kuu ya Ufaransa miaka kumi iliyopita, pia amefanikiwa kushinda mataji nane likiwemo taji la ligi ya mabingwa Ulaya, katika kipindi chote alichokuwepo kwenye viunga vya Stamford Bridge.

Cesar Azpilicueta

Thomas Tuchel na klabu ya Chelsea hawana wasiswasi kuhusu swala la mkataba, wanatarajia Cesar ataamua hatma yake mwenyewe baada ya klabu kumpa mkataba wa muda mfupi, lakini Azpilicueta amefanya mazungumzo na klabu ya barcelona na wamekubalina lakini hajasaini mkataba wowote mpaka sasa.

Chelsea inaweza kuwapoteza Antonio Rudiger, Andreas Christensen na Cesar Azpilicueta kutokana wachezaji wote watakuwa huru kusaini mikataba ya awali na klabu yeyote.


KUWA MILIONEA MSIMU WA SIKUKUU NA SAHARA RICHIES

Unaanzaje siku yako katika msimu huu wa sikukuu, mchongo upo meridianbet kasino. Sloti pendwa ya Sahara Richies inaweza kukufanya ukawa milionea katika kufunga mwaka huu, Jiunge na ufurahie kasino maridhawa kutoka nyumba ya mabingwa.

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

CHEZA HAPA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.