Liverpool Wanataabika Na COVID-19.

Hali si shwari kwenye klabu ya Liverpool kutokana na maambukizi ya COVID-19 miongoni mwa wachezaji na wafanyakazi wa klabu.

Kuelekea mchezo wa nusu fainali ya Carabao Cup dhidi ya Arsenal, Liverpool wamethibitisha maambukizi ya COVID-19 kwa kocha wao msaidizi, Pepijn Lijnders. Huu ni muongezeko wa idadi ya waathirika kwenye kikosi hicho.

Lijnders alichukua nafasi ya kuongoza timu kwenye mchezo dhidi ya Chelsea wikiendi iliyopita na, angeendelea kuwepo kwenye nafasi hiyo kwenye mchezo dhidi ya Arsenal wakati huu ambao Jurgen Klopp yupo karantini.

Kutokana na matokeo ya vipimo vya COVID-19 vilivyofanyika jana jioni, mazungumzo na waandishi wa habari pamoja na maandalizi ya mchezo dhidi ya Arsenal yaliyokuwa yamepangwa kufanywa leo, yameghairishwa.

Inaripotiwa kuwa, Liverpool wametuma barua kwa mamlaka ya EFL wakiomba mchezo dhidi ya Arsenal kughairishwa kutokana na changamoto wanayopitia.


TENGENEZA FAIDA NA ZEUS ANCIENT FORTUNES

Una Kila sababu ya kufurahia wiki yako na kutengeneza mwaka huu uwe wa faida zaidi katika kasino zetu za mtandaoni za meridianbettz. Mchezo wa Zeus Ancient Fortunes unakuongoza kutekeleza hilo.

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

CHEZA HAPA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.