Yanga Ugenini Leo Dhidi ya Al Ahly Ligi ya Mabingwa

Ligi ya mabingwa barani Afrika (CAF) hatua ya makundi inatarajiwa kuendelea leo ambapo Al Ahly atamkaribisha Yanga katika dimba la Borg El Arab majira ya saa 1:00 usiku.

Yanga Ugenini Leo Dhidi ya Al Ahly Ligi ya Mabingwa

Yanga na Ahly wapo kwenye Kundi B kwenye ligi ya mabingwa ambapo wote mpaka sasa wana pointi 4 kwenye msimamo wa kundi hilo kinachotofautisha ni magoli ya kufungwa na kufunga.

Ahly ndio timu ambayo imefanikiwa zaidi katika historia ya mashindano haya Barani Afrika wakiwa na mataji 11 hadi sasa huku vijana wa Pedro wakiwa hawana taji hili hadi sasa.

Ahly ndio wamepewa nafasi kubwa ya kushinda mechi hii pale Meridianbet wakiwa na ODDS 1.33 kwa 9.00 ya Yanga lakini mara ya mwihso kukutana Young Africans walipoteza.

Je leo hii vijana wa Pedro wanaweza kulipa kisasi ugenini na kusogea juu kwenye msimamo wa Kundi B au wenyeji wataendeleza ubabe na kushinda siku ya leo?

Yanga Ugenini Leo Dhidi ya Al Ahly Ligi ya Mabingwa

Yanga mpaka sasa kwenye ligi kuu yupo nafasi ya 2 baada ya kucheza michezo 7 na kushinda mechi 6 na kutoa sare moja hadi sasa, huku kwa upande wa wenyeji wao kwenye ligi kule Misri wapo nafasi ya 6 kwenye ligi akiwa na pointi 6 kwenye ligi.

Meridianbet inakwambia kuwa endelea kubashiri hapa kwani ODDS KUBWA na machaguo zaidi ya 1000 yapo hapa. Ingia kwenye akaunti yako na uanze safari yako ya ushindi sasa.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.