Mbio za Farasi Zahairishwa Southwell.


Mashindano ya Mbio za Farasi ya Southwell yamehairishwa mpaka baada ya kutangazwa tena hapo baadae baada ya Farasi wawili kufariki.

Bodi ya Mbio za Farasi za Uingereza wanashirikiana na mmiliki uwanja wa Arena Racing Company kufuatia matukio ya vifo vya Farasi sita kati ya tarehe 1 July na August 24.

 

Mbio za Farasi Zahairishwa Southwell.

 

Baada ya vifo vya Cillian’s Well na Day of Roses, BHA na ARC walitoa taarifa iliyosomeka: “Mamlaka ya Mbio za Farasi Uingereza na Arena Racing Company wameungana kutoa maamuzi ya kuhairisha tamasha la Southwell mpaka hapo itakapo tangazwa tena.

“Ili kupisha uchunguzi wa kina kuchukua nafasi yake kufuatia vifo vya viwili vilivyotokea katika michezo ya jioni.

“Tayari utaratibu ulikwishaanza kuchunguza matukio kama hayo yaliyohusisha vifo sita vya Farasi kutoka July 1 na August 24.

“Ratiba za michezo hiyo itapangwa tena katika viwanja vingine na taarifa zitatolewa hapo baadae.”

 

Mbio za Farasi Zahairishwa Southwell.

Kumekuwa na Vifo 173 kati ya Farasi 91,937 walioshiriki katika mwaka 2019 kulingana na takwimu za Mamlaka ya Michezo ya Farasi Uingereza – BHA, amabayo iliweka asilimia 0.19 ya vifo kwa Farasi waliokimbia.

Unaweza kubashiri na Mabingwa meridianbet Michezo kama hii ya mbio za Farasi.


SHINDA NA HI LO

Sasa hii ni rahisi zaidi kupata USHINDI! Unatabiri karata ipi ipo chini au juu, kisha unakusanya mkwanja wako.

Cheza Sasa.

42 Komentara

    Gud news

    Jibu

    duh sa itakuwaje maana tulikuwa tunasubiria kwa hamu kubwa sana

    Jibu

    Hii inaweza ikawa kuna ugonjwa umeingia wa farasi ngoja tusubili hadi pale uchunguzi utakapo kamilika.

    Jibu

    Kwanini vifo vya farasi vimekithiri?

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Duu sio poa Nn tena kwasaba tulikuwa tuna subili kwaamu tuhone buludani jamani

    Jibu

    daaaa zitalejea lini tena

    Jibu

    Asante kwataharifa

    Jibu

    nini kimewakuta farasi jamani

    Jibu

    Duh sad newz

    Jibu

    Pigo kubwa kwenye mchezo huo

    Jibu

    mchezo huu huvutia wabashiri wengi hasa Ulaya, naamini uchunguzi hautabaini kama kuna hujuma#meridianbettz

    Jibu

    mchezo huu huvutia wabashiri wengi hasa Ulaya, naamini uchunguzi hautabaini kama kuna hujuma

    Jibu

    Majanga mengine hayo

    Jibu

    Huo ni uzembe wao farasi awakagui wanawapeleka kwenye mashindano sijui kama huduma nyingine walikuwa wanapata

    Jibu

    What a shocking a news!!!

    Jibu

    Mhmh sio poa
    @meridianbettz

    Jibu

    Duuh ni habari ya kuuzunisha sana kwa wapenzi wa mchezo wa wafarasi

    Jibu

    R.i.p farasi hakika mlikua mnatoa burudani ya kutosha!!!

    Jibu

    Bad news dhaa Mambo yanazidi kuwa mabaya kwa upande wa burudani

    Jibu

    So sad

    Jibu

    Tushakosa tena burudan za mbio za farasi#meridianbettz

    Jibu

    dah wenzetu wako district sana wanapoanzisha vitu vyao

    Jibu

    Mambo yanazidi kuwa mabaya

    Jibu

    Daah mambo yakua meusi kwa wapenzi wa mchozo wa farasi

    Jibu

    Pigo kwa mashindano haya

    Jibu

    Makala nzur

    Jibu

    Du hii nouma Sana

    Jibu

    Duuu hataree sana

    Jibu

    Duuuh hatari hizo hujuma hizo farafi wamekufa!

    Jibu

    Hiii noma sanaaa

    Jibu

    Good news

    Jibu

    Hatar

    Jibu

    Nice update

    Jibu

    Good news

    Jibu

    Apo kuna mchez unafanyika inabid uchunguz ufanyike

    Jibu

    Mambo ya corona hayo

    Jibu

    Tulikuwa tunasubiria kwa hamu kubwa sana

    Jibu

    Ndo basi Tena Hii Corona Jamani

    Jibu

    Duuuuh hatari

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.