Corona Yachelewesha Dili la Timo Werner

Usajili wa Timo Werner kwenda Chelsea unaweza kukamilika wiki ijayo, inasemeka umechelewa kwasababu ya namna ya kufanya vipimo vya afya kwasababu ya zuio la kuingia nchi mbalimbali.

Straika huyo wa Ujerumani dau lake la £53million linaishia Jumatatu na usajili wake utakuwa nyongeza kubwa kwenye kikosi cha Frank Lampard.

Hakim Ziyech

The Blues tayari wamemsajili Hakim Ziyech, kwa dau la £37million mwezi Februari kuelekea msimu ujao, wakati wakiendelea kuwinda wengine sokoni kwasasa wanamuwinda nyota wa Leicester City na Uingereza beki wa kushoto, Ben Chilwell.

Ben Chilwell

Chelsea wamekusanaya kiasi kikubwa cha pesa baada ya kuuza wachezaji wake kwenye madirisha yaliyopita ikiwemo Eden Hazard kwenda Real Madrid na Alvaro Morata kwenda Atletico Madrid.

47 Komentara

    N habar njema maana afya ndo kila kitu hupaswi kufanya haraka katika kusajili bila kuzingatia vipimi cha msingi kulikuwa na subira now soon inakuja heri

    Jibu

    Asante kwa habari za burudani na michezo..

    Jibu

    Bonge la makala Asante sn meridianbet tunasubili muogoz

    Jibu

    Safi sana

    Jibu

    Habari nzuri sana kwa mashabiki wa Chelsea inaonekana itakuwa moto sasa sio kwa usajili huu

    Jibu

    Corona atarii sana Mambo ya merudi nyumba kwakira sekta

    Jibu

    Majanga

    Jibu

    Safi sanaaa

    Jibu

    Huku Ziyech, pale Timo lazima watu wazima wakae sisi tunapita mwendo speed 120 #meridianbettz

    Jibu

    Mmm hii corona imejua kutunyosha

    Jibu

    Corona umeleta maajabu

    Jibu

    Vizur kujua afya kwanza

    Jibu

    Safi sana

    Jibu

    hili deal si lilikuwa confirmed done

    Jibu

    Wamalize dili Hilo Mambo uaende sawa

    Jibu

    Corona nomaa

    Jibu

    Hili janga nalo dah

    Jibu

    Corona imezua mengi sana na pia limesababisha mambo mengi kurudi nyuma

    Jibu

    Makara zenu nzuri tunaisubili muongozo

    Jibu

    Corona sio poa kabisaa

    Jibu

    Habari njema. Next msimu naona kabisa Chelsea itasumbua #meridianbettz

    Jibu

    Corona noma sana

    Jibu

    corona inakwamisha mipango ya watu

    Jibu

    Corona ni balàa

    Jibu

    mambo yatakaa sawa tu kila jambo lina mwisho wake

    Jibu

    Ni vizuri kiafya maana hali yenyewe sasaiv ni mbaya corona imeharibu

    Jibu

    Corona noma

    Jibu

    Colona ni hatari

    Jibu

    Wanajitahidi kufanya usajili #Meridianbettz

    Jibu

    Huu ugonjwa ni shidaa#meridianbetz

    Jibu

    Huu ugonjwa wa corona ni hatar sana Ila nivizur kujua afya zetu

    Jibu

    Sawa yote yatapita tu

    Jibu

    Safi

    Jibu

    corona inatunyima uhondo duuh pole sana timo

    Jibu

    Afya Kwanza mengine yatafuata

    Jibu

    Corona imekwamisha vitu vingi sana na pia limesababisha mambo mengi kurudi nyuma

    Jibu

    Huku Ziyech, pale Timo nouma Sana #meridianbettz

    Jibu

    Corona sio poa

    Jibu

    Kilio cha dunia nzima hko thnks meridian bet tz kwa update

    Jibu

    Timo aendeleze kwanza makali yake kwanza Ujerumani

    Jibu

    Tunachohitaji ni muendelezo wa anachokifanya sasa

    Jibu

    Corona Sio poa

    Jibu

    Habari njema ,next time Chelsea itakuwa poah

    Jibu

    Janga la dunia

    Jibu

    Chelsea bado kabisa wanakiwa wapange mashambulizi sio kukusanya ela tu usajiri wa maana ufanyike wameshuka viwango sana

    Jibu

    Kujali afya ni Jambo muhimu sana

    Jibu

    Ndo imeisha ivyo wampe madili tyu

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.