FIFA Yabadili Sheria za Usajili

Ligi za Mpira wa Miguu zitaruhusiwa kufungua dirisha usajili endapo watakapomaliza Ligi zao kwa sheria mpya za FIFA zilizotangazwa Alhamisi.

Shirikisho hilo la mpira Duniani FIFA limefikia uamuzi wakutangaza kanuni hizo mpya baada ya Ligi nyingi kuchelewa kumalizika kwasababu ya Janga la Corona.

Tayari Mtendaji Mkuu wa Premier League, Richard Masters amesema Ligi kuu ya Uingereza haitaruhusu vilabu visajili mchezaji kabla ya Julai 25 baada ya Ligi kuchelea kumalizika.

Danadana Kurejea kwa EPL

Ligi nyingi za Ulaya walikuwa na mpango sawa, lakini kwa kanuni mpya za FIFA itawaruhusu kufungua madirisha ya usajili mapema kutokana na mabadiliko ya ratiba ya msimu 2019-20.

Fifa pia imesema wachezaji wataruhusiwa kucheza klabu tatu tofauti kwa msimu mmoja tofauti na zamani ambao walikuwa wakicheza timu mbili kwa msimu.

Premier League itarejea 17 Juni na ikiwa kila klabu ina mechi sawa za kucheza, wakati FA Cup, Champions League na Europa League yanatakiwa kumalizika pia.

44 Komentara

    Corona itaisha tuu

    Jibu

    Duuh corona imebadilisha vitu vingi sana ila mungu mkubwa mambo yatakuwa sawa tuu

    Jibu

    Corona noma

    Jibu

    Duuh! Corona ni ugonjwa mbaya sn

    Jibu

    Alichokiongea Richard Master mwenyekiti wa shirikisho la mpira wa FIFA kutokana na sheria ambazo zimejitokeza kipindi hiki cha corona n nzur maana inawalinda wacheza sana

    Jibu

    Covid 19 umesababisha mambo mengi kubadilika. Ni jambo jema wameliona hilo na kufanyia kazi #meridianbettz

    Jibu

    Daah corona ni ugonjwa hatari sana ##meridianbettz

    Jibu

    Natumai covid iliisha kila kitu kitakuwa sawa

    Jibu

    Duu corona imelostisha kilakitu Mambo yameludi nyuma Sana

    Jibu

    Corona imeharibu kila kitu

    Jibu

    Duh sio poa

    Jibu

    Duh! Corona noma

    Jibu

    Mungu ni mwema

    Jibu

    Asante kwa taarifa#meridianbettz

    Jibu

    Corona janga la taifa

    Jibu

    FIFA wamegundua kitu ,sababu wakifungua Sasa hivi madrisha ya usajili ,wachezaji vichwa vyao havitatulia wakiwa uwanjani so timu itapata matokeo hasi

    Jibu

    Corona siyo ugonjwa mzuri

    Jibu

    Kila Jambo Lina mwanzo na mwisho

    Jibu

    Safii sana mungu yupo pamoja nasi na kila kitu kitakuwa sawa tu

    Jibu

    Huu ugonjwa umekuwa gumzo Kila Kona umebadili kila mipango

    Jibu

    Daaah..!mungu atasaidia litapita ili gonjwa

    Jibu

    Hii sasa kali

    Jibu

    corona imebadilisha vitu vingi sana ila mungu mkubwa mambo yatakuwa sawa tuu

    Jibu

    Alichokiongea Richard Master mwenyekiti wa shirikisho la mpira wa FIFA kutokana na sheria#meridianbettz

    Jibu

    hili ni janga la dunia nzima

    Jibu

    Daaah hapa tutawamis baadhi ya wachezaji ambao tulitaraji watakipiga mapema tuu.

    Jibu

    Hii nzuri Sana kwani vilabu vingivitakua na mda wa kutosha kufanya usajili#meridianbettz

    Jibu

    Duu corona imebadili kila kitu

    Jibu

    Daah corona imeharibu kila kitu

    Jibu

    Corona ni Moto wa kuotea mbali

    Jibu

    Mungu Ni mwema corona itaisha

    Jibu

    fifa ingewasaidia na kuwakopesha pesa maana vilabu vingi vimepata matatizo ya kipesa ili waweze kufanya hizo sajiri

    Jibu

    Corona ni hatari sana imeharibu mipango ya watu

    Jibu

    Sio mbaya maamuzi mazuri walofanya fifa

    Jibu

    Corona inatisha jamani

    Jibu

    duh haya bhn

    Jibu

    Hii Sasa balaa

    Jibu

    Inabidi iwe hivyo mana hakuna jinsi#Meridianbettz

    Jibu

    Duuuh sio poa

    Jibu

    Duuuh

    Jibu

    duuh sio powa

    Jibu

    Duh habar njema

    Jibu

    Duuuh

    Jibu

    Covid 19 ,ni hatari ,inabid club iwasaidie kwa Hali na mali

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.