Arsenal tayari wamekubaliana kuongeza mkataba wa muda mfupi na Cedric Soares ambao utamfanya asalie hadi msimu wa Ligi itakapomalizika.
Soares alijiunga na Arsenal kwa mkopo akitokea Southampton Januari lakini hajacheza mechi yoyote akiwa kwenye klabu hiyo ya Londo Kaskazini.

Beki huyo wa kulia alikuja kama mbadala wa Hector Bellerin, lakini alijiunga na Arsenal akiwa na majeraha ya goti, wana matumaini atarejea baada ya wiki tatu.
Japo, kupona kwake hakutakuwa na haraka sana kwa Mreno huyo mwenye miaka 28, hajarejea mazoezini tangu Ligi isimame mwezi Machi.
Soares sasa amepona majeraha ya mguu, lakini hajacheza mchezo wowote kati ya mechi mbili za kirafiki dhidi ya Charlton na Brentford wiki zilizopita.


Zeiyana
Ajitaidi kucheza vizur asajiriwe moja kwa moja
Hamidu
Habari za nzuri kwa mashabiki wa arsenal#meridianbettz
Lydia Emmanuel Magoti
Nivizuri Sana ili aongeze juudi ili wamsajili moja kwamoja
Frank Patrick
Hatocheza anasalia kufanya nini sasa
Magdalena
Arsenal wanazingua sana
Johnmary joel
Mungu azidi kuimarisha afya yake ili asonge mbele#meridianbett
Caroline
Hongera kwake
Elika
Safi sana
Gabriel
Huyu n bek kisiki yuko vzur sana good news ๐ kwa arsenal
Genia Sikaluzwe
Habari njema kwa mashabiki wa mpira
Sadick
Ukisikia zari la mentali ndio hilo#meridianbettz
Ester jackson
Ajitahidi kucheza vizuri mana hapo arsenal mambo mabaya sana
Tahiya
Habari njema kwa klabu yngu bdo tunaitaji wachezaji wazuri ili kujikwamua mana hali ni mbaya
Leonard
Hana msaada
lombo
jambo jema kula shavu kijana it’s ur time
Hope mwaikuka
Habar nzur sana
Emmy cleopa
Habar njema
Mwanaidi
Ni jambo zuri
Furahav
Hongera.
Shafii
Dogo akomae apate mkataba wa kudumu kwa washika bunduki
Khadija
Habari njema kwa mashabiki wa Asernal##meridianbettz
Dorophina
Habari nzuri kwa mashabiki wa arsenal
Salma
Asernal wamepata jeshi
Neema hassan
Habari njema kwa mashabiki
David Pere
Kweli timu zinateseka Sana Ndio maana wanawaongezea mikataba ya muda mfupi wachezaji wao
Theckla
Azidishe juhudi
Amani
Mungu azidi kuimarisha afya yake ili asonge mbele#meridianbett
Rehema Dickson
kucheza vizuri mana hapo arsenal mambo mabaya sana
felister
habari njema kwa mashabiki wa arsenal
Ernest
Yupo vizuri nadhani atapata deal zuri hivi karibuni
Hidaya
Bora wamchukue huenda akaifanya arsenal ikawa mpya
Mwajuma
Uwamuzi mzuri
Agness
Habari nzuri
Adelta
Habari njema kwa mashabiki
mwakalosi
Yaani hadi arsenal watuumize kichwa jamani๐๐๐๐ na extended ya mkopo
Aziza mushi
Azidishe juhudi wamsajili moja kwa moja.
Evaluziga
Mungu azidi kuimarisha afya yake ili aweze kusonga mbele
Devotha
Habari nzuri
Rehema
Ni uwamuzi mzuri sn
warda
Bora hata huo mkataba wa mda kuliko kukaa bure#Meridianbettz
isha
hongera sana kwake
Povel
Habar njema
Theonestina
Hongera yake