Emilio Alvarez: De Gea Alifanya Niondoke United

Aliyekuwa kocha wa magolikipa wa Manchester United, Emilio Alvarez amesema kuwa golikipa David de Gea ndiye alikuwa sababu ya yeye kuondoka klabuni hapo.

Alvarez alimfundisha golikipa huyu alipokuwa Atletico Madrid, lakini pia alipata nafasi ya kufanya naye kazi pale Manchester United, kabla hajaamua kuondoka Old Trafford Septemba mwaka jana.

Alvarez anasema kuwa alimsaidia golikipa De Gea mwaka 2011. Lakini ansema aliondoka United kwa sababu hakuwa anataka tena kuendelea kumfundisha De Gea.

Kulikuwa na tetesi kuwa klabu iliamua kumsimamisha majukumu yake. Laini, kwa mujibu wa mkufunzi, anakanusha kuwa si kweli kuwa Manchester United walimfuta kazi. Bali aliamua kuondoka klabuni hapo.

Emilio Alvarez: De Gea Alifanya Niondoke United
De Gea na Alvarez walikuwa karibu

“Ilikuwa ni kwenye kikao fulani. Walikuwa wanataka niongeze mkataba, nikawaambia kuwa siwezi kuongeza kwa kuwa sitaki kuendelea kumfundisha De Gea.”

Ukiacha kuwa mshauri wake mzuri kule Atletico Madrid, ambako Emilio Alvarez alimsaidia kuwa moja ya makipa bora zaidi. Alvarez anasema yeye ndiye alimshawishi golikipa huyu kusaini mkataba na klabu ya Man United.

Kocha huyu wa zamani anamlaumu De Gea kwa kusaini mkataba wake unaomuweka Man U hadi 2023 bila yeye kufahamu. Kitu ambacho anakiona kama ni kukosa uaminifu kutokana na uhusiano waliokuwa nao.


Kuna ofa kibao sana unazofaidi ikiwa unabashiri na Meridianbet. Jiunge sasa kufurahia ofa zetu

Bonyeza HAPA Kujiunga.

49 Komentara

    Nini shida hapo ya yeye kuondk mbona hajatoa sababu ya kueleweka

    Jibu

    De gea binafsi ashachoka kukaa united anatamani abadilishe mazingira

    Jibu

    De gea may be alichoka kher abadilishe mazingira

    Jibu

    Aligundua kuwa ashafanya kazi yake ishaisha tayari na ashakuwa kipa mzuri na yegemeo kubwa kwa Invited

    Jibu

    Du Emilio Alvarez ameniacha mdomo wazi bila shaka kuna mahali alitaka De Gea aende mwisho ameona lengo lake halijatimia ameamua kufungasha virago#meridianbettz

    Jibu

    Acha aende tu maisha popote

    Jibu

    Hapo kuna tatizo

    Jibu

    Alikuwa na sababu zake za kuondoka ila asimsingizie mtu

    Jibu

    tatizo asa ni Mimi…?

    Jibu

    Aende tuu kwan kambi popote#meridianbettz

    Jibu

    Ukitakavkuondoka sehemu usitoe sababu za uongo labda kesho unaweza kuludi mahali hapo

    Jibu

    Ukiacha kuwa mshauri wake mzuri kule Atletico Madrid, ambako Emilio Alvarez alimsaidia kuwa moja ya makipa bora zaidi. Alvarez anasema yeye ndiye alimshawishi golikipa huyu kusaini mkataba na klabu ya Man United.

    Jibu

    Sad story..

    Jibu

    Apo kutakuwa na sababu kubwa ya kufanya yeye aondoke lakini asimsingizie de gea

    Jibu

    Acha aende maisha pote

    Jibu

    Maisha popote pale huamuzi ni wake huenda amechoka kufanya kazi man u

    Jibu

    Maisha popote acha aende

    Jibu

    Maneno ya mkosaji hayo

    Jibu

    Kila la kheri kila uendapo maisha ni popote

    Jibu

    Aende tu ata nilikua simkubali#Meridianbettz

    Jibu

    inamaana alikua anataka kumuondoa de gea man united, lakini hajafanikiwa nenda salama Emilio

    Jibu

    Kuna jambo hapo sio bure

    Jibu

    Safar njema tu amtakie

    Jibu

    Mmmh hapa kunakitu kwanini Emilio amlaumu De Gea kusaini mkataba unaomuweka man u na kukataa tuhuma zinazomkabili za yeye kufukuzwa man u hizi tuhuma zinaweza kua za kweli kuna kitu walikiona uongozi wa Manchester united ndio maana wakamtimua Emilio Alvarez pengine alitaka kumuondoa De Gea man u

    Jibu

    🤣🤣🤣Degea aliangalia mshiko tu#Meridianbettz

    Jibu

    Good news

    Jibu

    Acha aende

    Jibu

    Taarifa mzur

    Jibu

    Gud news

    Jibu

    Duh kumbe

    Jibu

    Duuu atalii

    Jibu

    Asante kwa taarifa# meridianbet

    Jibu

    Kambi popote

    Jibu

    De gea alimyuda mwalimu wake

    Jibu

    mbona kama una roho mbaya

    Jibu

    Wacha uwende kambi kokote amna kulaza damu

    Jibu

    ata mimi binafsi nilitamani sana De Gea kuihama Man U na kujaribu bahati yake sehemu nyingine

    Jibu

    Habari nzuri.

    Jibu

    De gea ni kipa mzuri sana aache kuongea uongo

    Jibu

    De gea ni goli kipa mzuri sana pia alves sijui kwa nini anaonekana kama ajapendezewa na kipa huyo na kusema alikuwa ataki kuendelea kumfundisha tena de gea

    Jibu

    David de gea the best goalkeeper in world

    Jibu

    Pole sana

    Jibu

    Binafsi bora aende akapate changamoto mpya

    Jibu

    hafadhari kafuta uvumi mbaya uliokuwa unasambaa

    Jibu

    gud news mambo ni moto na meridianbet

    Jibu

    Gud news

    Jibu

    Pole sanaa

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.