Kocha wa Young Africans (Yanga SC), Luc Eymael amekiri kukasirishwa baada ya mshambuliaji wake kugoma kusafiri nae kwenda Shinyanga kucheza mchezo wao dhidi ya ya Mwadui Jumamosi kurejea kwa Ligi Kuu Tanzania Bara.
Kocha huyo Mbeligiji ameshindwa kuungana na wachezaji wenzake kikosini kuelekea mechi dhidi ya Mwadui lakini alipaswa kusafiri na wachezaji wenzake.
Eymael, alisafiri na straika Mcongo David Molinga, ambaye aliachwa wakati kikosi kikienda Shinyanga, Jumatano kwasababu zake binafsi.
Eymael alipozungumza na waandishi alisema hafahamu nini kimetokea kwa Morrison kwasababu nilitakiwa kusafiri nae mimi lakini alizima simu.
“Ni kweli [Morrison] alihaidi kuja na mimi kwenye safiri ya Shinyanga lakini hakutokea na alienda mbali zaidi kwa kuzima simu yake,” alisema Eymael.


isha
Duuh kwanini agome sasa
Salma
Ape we adhabu inayo stahili
Rehema
Kwani mkataba wake si unaruhusu kwenda popote? Kama vp apewe adhabu tu
Rehema Dickson
Ata asipo enda yanga ushindi ni lazima point 3 tutapata tu ata usipo enda babu eeh
Hamidu
Duu…habari mbaya kwa mashabiki wa yanga…Morrison ni mchezaji muhimu sana pale yanga kugoma kwake kutachangia leo kupoteza mchezo
Furahav
Huyo sio mchezaji,
Sadick
Morrison anatengeza mazingira ya kuondoka. Hivi dirisha la usajiri linafunguliwa lini?#meridianbettz
Elika
Kashajua kinachokwenda kutokea hukoooo..bora kagomaaa
Mariam mtandama
Duuuh
felister
msihukumu coz hamjui amepatwa na tatizo gani mpaka akashindwa kusafiri shinyanga kuungana na wenzake
Neema hassan
Duuh..lazima sheria ifuate mkondo wake..
Ester jackson
Hii tabia ya wachezaji kukataa kwenda katika mchezo inatokea Mara nyingi sana kwani Hamna sheria au anajiona yeye ndio bora alimwe faini ili wengine wajifunze kupitia yeye
Lydia Emmanuel Magoti
Duu kweli ngoma ishakuwa ngumu kwayanga mpaka Morrison kugoma Aya ngoja tuchek itavyo kuwa kwao yanga
Mwanahamisi
Duuh
Genia Sikaluzwe
Mmh hiyo hatari lazima Sheria ichukuwe Mkondo wake
Emmy cleopa
Duuuh!! Hatari
Dorophina
Dhuu kwann aligoma inabidi apewe adhabu
Gabriel
Ujue mpira wa African n wamaneno hivyo bac kutokana na scandal ambayo ilitokea nyuma pind walipochezwa na KMC imemfanya kutokuwa comfortable na kuendelea inapaswa viongoz wadhibit na kuongea na Morrison vzur asije akawakatisha tamaa wengne
Johnmary joel
Kama Goma basi hatulie haliwezi Jua labda kunajambo ambalo cyo#meridianbet
Devotha
Kuna sababu kwa nini agome kwenda
Samiah
Lazima kutakuwa na sababu hawezi akagoma kwenda
Hope mwaikuka
Kwann sasa
Njiku
Dah
Povel
Duh majanga kwl
Amani
Utopolo si mnazaminiwa na laliga lipeni wachezaji pesa Simba bingwa akuna ujanja# meridianbettz
Theckla
Hawezi kugoma tu hivihivi kutakuwa na sababu za msingi
Caroline
Labda kachoka
Ernest
Wabongo washampiga misumari huyuuuuu
Zeiyana
Morrison hanatafuta kiki tu..!vigezo na mashart vizingatiwe hapewe azabu ikiwezekena
Theonestina
Morrison apendi kudharauliwa.
Frank Patrick
Ikumbukwe hakuna mchezaji mkubwa zaidi ya team …Non pro Morrisson
Sylvester
Duu safari Kama inawadia hivi ya Morrison naona hakuna mawasiliano mazuri na kocha wa sasa
Mwajuma
Kagoma bila sababu au kunavitu havipo sawa
Hidaya
Wamsikilize atakuwa ana sababu muhimu
Latifa juma mohamed
Mtu hawez goma pasipo sababu , I think there another reason.
Evaluziga
Jaman mpaka anagoma bas anasababu zake mwacheni bwana Morrison wetu
Mwanaidi
Aache zake aende tuu
Isaya massawe
Anaturingia kama vip asepe tuu
Shafii
Si rahisi kwa mchezaji ambaye analipwa stahiki zake zote agome kusafiri bila sababu kutakua na tatizo tu ndani ya menejiment ya yanga
lombo
tatzo ilo au hamjampa mshahara wake
Magdalena
Apewe adhabu kwa kwenda tofauti na Sheria zao
warda
Kajamaa kana sifa sana haka#Meridianbettz
Agness
Kwanini anagoma
Samira
Morrison nae anakosa ushirikiano mzuri na wenzake