Ligi kuu ya NBC Tanzania, inatarajiwa kuendelea siku ya leo kwa michezo miwili ambapo mchezo wa kwanza ni huu wa TRA United vs KMC ambao msimu huu umekuwa mbovu kwao.

Timu hiyo ambayo ipo chini ya kocha mkuu Mohamed Bares mpaka sasa kwenye mechi 9 ambazo wamecheza wanashika nafasi ya mwisho kwenye msimamo wa ligi huku wakiwa na pointi 4 pekee.
Wenyeji wao wapo nafasi ya 11 kwenye msimamo wa ligi wakikusanya pointi 9 hadi sasa huku mchezo huu wakiytazama kama mchezo ambao wanahitaji ushindi ili kusogea kwenye nafsi ya juu.
Meridianbet inakwambia kuwa endelea kubashiri hapa kwani ODDS KUBWA na machaguo zaidi ya 1000 yapo hapa. Ingia kwenye akaunti yako na uanze safari yako ya ushindi sasa.
Mara ya mwisho TRA United kukutana na KMC mwenyeji alipoteza mechi hiyo huku leo hii Mabingwa wa ubashiri Tanzania Meridianbet wamempa nafasi kubwa ya kushinda mwenyeji kwa ODDS 1.85 kwa 4.00.


