Xhavi: Ushindi wetu Ishara Nzuri.

Kocha mkuu wa klabu ya Barcelona Xhavi Hernandez amesema kuwa suala la wao kushinda mchezo dhidi ya Sevilla ni ishara nzuri kwao ambapo jana walikuwa ugenini kukipiga dhidi ya Sevilla  na kuibuka na ushindi wa mabao 3-0.

Xhavi: Ushindi wa Barca ni Ishara Nzuri.

 

Raphina ndiye alifungua pazia la kufunga katika mchezo wa jana na baadae Robert  Lewandowiski nae akaingia nyavuni ambapo alifunga bao lake la tano katika Laliga. Miamba hao wa Catalunya wamefunga mabao matatu katika mechi tatu za msimu huu, Barcelona wanaonekana kwenye sura mpya, huku wakiwa na ubora mwingi msimu huu. Xhavi anasema kuwa,

 “Tumekuwa tukitengeneza nafasi nyingi za kufunga mabao zaidi. Ni ishara nzuri kuja kwa Sevilla na kujituma”. Timu ipo katika wakati mzuri sana.

Xhavi: Ushindi wa Barca ni Ishara Nzuri.

Xhavi na vijana wake katika Laliga wapo nafasi ya pili kataika msimamo baada ya mechi nne walizpocheza huku wakishinda tatu, sare moja na alama zao 10 ambapo wameachana na Real Madrid alama mbili tu ambapo Madrid ana alama 12.

 

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.