Willian Jose Atua Wolves kwa Mkopo.
Wolves imekamilisha usajili wa mkopo wa mshambuliaji wa kibrazil Willian Jose akitokea Real Sociedad. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 29 ameenda Molineux kwa mkopo kwa muda wa uliyobakia katika …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Wolves imekamilisha usajili wa mkopo wa mshambuliaji wa kibrazil Willian Jose akitokea Real Sociedad. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 29 ameenda Molineux kwa mkopo kwa muda wa uliyobakia katika …
Wakala Jorge Mendes anatajwa kuwa kwenye harakati za kutafuta timu nyingine kunako EPL kwa ajili ya kocha Nuno Espirito Santo Hii ni habari ya kushtua kidogo kufuatia kocha huyo kusaini …
Mashindano ya FA Cup yameanza kwa michezo miwili jana usiku. Liverpool na Wolves wameibuka videdea wa mzunguko wa 3. Liverpool alikuwa akipambana na Aston Villa. Licha ya Villa kuripoti visa …
Manchester United inaweza kusogea ndani ya alama mbili kutoka kwa viongozi wa Ligi ya Premia Liverpool kama wakifanikiwa kupata ushindi dhidi ya Wolves katika dimba la nyumbani Old Trafford. Mashetani …
Frank Lampard anatarajia kukutana na Nuno Espirito Santo’s Usiku wa leo pale Chelsea itakapo kabiliana na Wolves katika mchezo wa Premier League katika dimba la Molineux. Chelsea ilicheza mechi 17 …
Rayan Aït-Nouri (miaka 19 na siku 146) anakuwa mfungaji mdogo zaidi wa Wolves katika PL. Pedro Neto ndiye mchezaji mwingine pekee kufunga kama kijana katika PL kwa klabu hiyo. …
Aliyekuwa beki wa Barcelona – Nelson Semedo, amekamilisha usajili wa kujiunga na Wolves na leo ametambulishwa rasmi. Kocha wa Wolves – Nuno Espirito Santo, alikuwa sokoni akitafuta mbadala wa Doherty …
Manchester City wanaanza kurusha karata yao ya kwanza katika mbio za kuwania ubingwa wa Premier League 2020-21 wakisafiri mpaka viunga vya Molineux kuwakabili Wolves. Upande huo wa Guardiola ulipoteza mechi …
Klabu ya Manchester city ina matumaini makubwa kuwa mshambuliaji wao hatari sana, Sergio Aguero atakuwa fiti kuweza kuwakabili Wolverhampton katika mchezo wao wa kwanza wa kufungua Ligi msimu huu kwa …
Kocha wa Wolves, Nuno Espirito anatarajiwa kutia saini mkataba mpya kambini mwa Wolves. Nuno, 46, angali na mwaka mmoja pekee kwenye kanadarasi yake ya sasa na kikosi hicho cha Ligi …
Klabu za Tottenham Hotspurs na Wolves tayari zimekubaliana juu ya suala la ada ya uhamisho wa mchezaji Matt Doherty. Tottenham watalazimika kutoa pauni 15m ili kupata saini ya nyota huyo, …
Tetesi zinasema Wolves na Newcastle United wameanika wazi maazimio ya kumsajili beki wa Arsenal, Ainsley Maitland-Niles, 22, anayetazamiwa kuondoka rasmi uwanjani Emirates kufikia mwisho wa Agosti, 2020. Difenda huyo …
Burnley wamejipanga kuinasa saini ya kipa wa Wolves, Will Norris. Mlinda mlango huyo mwenye umri wa miaka 27 alitumika kwa mkopo na Ipswich Town kwa msimu uliopita na anatarajiwa kusepa …
RAUL Jimenez mshambuliaji wa Wolves ameambiwa kuwa lazima aondoke ndani ya timu hiyo msimu huu kwenye dirisha la usajili ili akapate changamoto mpya sehemu nyingine. Nyota huyo amekuwa akihusishwa kuibukia …
Baada ya kutolewa katika Michuano ya Europa. Kocha wa Wolves – Nuno Espirito Santo, ameitaka timu yake kuongeza wachezaji zaidi. Wolves ambao wamepanda Ligi Kuu Uingereza – EPL mwaka 2017, …
Wolves wataruhusiwa kusajili wachezaji 23 pekee kwa soka ya Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) msimu ujao iwapo watafuzu kwa kipute hicho msimu ujao kwa kunyanyua ufalme wa Europa League muhula huu. …
Klabu za Sevilla, Wolves, Bayern leverkusen, Sevilla na Basel zimeungana na Manchester United, Inter milan, Copenhagen na Shakhtar Doneski hatua ya robo fainali kwenye mchuano ya Europa League. Wolves waliibuka …
Timu ya Wolves imefanikiwa kutinga hatua ya robo fainali katika mashindano ya Europa League kwa kuwaondosha Olympiacos baaada ya kushinda 1-0 siku ya Alhamisi na kufanaya jumla ya tofauti ya …
Chelsea wanajua ushindi au sare dhidi ya Wolves kwenye mchezo wa leo wa kukamilisha msimu itawapa nafasi ya moja kwa moja kushiriki Ligi ya Mabingwa Ulaya. Blues walipoteza mbele ya …
Kocha wa Wolves, Nuno Espirito Santo yuko karibu kukubali mkataba mpya wa miaka mitatu kuendelea kuinoa klabu hiyo ya Molineux, kwa mujibu wa Mirror. Nuno ameendelea kuwa bora na timu …