Pauni 15m za Tottenham Kumng'oa Doherty Wolves

Klabu za Tottenham Hotspurs na Wolves tayari zimekubaliana juu ya suala la ada ya uhamisho wa mchezaji Matt Doherty.

Tottenham watalazimika kutoa pauni 15m ili kupata saini ya nyota huyo, na ripoti zinaarifu kuwa ni suala la muda tu kabla ya hilo kutimia kwani Tottenham wamekubaliana na dili hilo.

Pauni 15m za Tottenham Kumng'oa Doherty Wolves
Matt Doherty

Jose Mourinho amevutiwa na kiwango cha beki huyo kwa misimu ya hivi karibuni hivyo basi yupo tayari kumtumia kama mbadala wa Serge Aurier katika safu ya ulinzi ya vigogo hao wa London.

Nyota huyo mwenye umri wa miaka 28 hivi sasa, aliyeanza safari yake ya mafanikio katika soka ndani ya klabu ya Bohemians na kuichezea kwa mafanikio makubwa katika msimu wa 2019/20 alifanikiwa kucheza mechi 50 na kusaidia kuimarisha safu ya ulinzi huku akifunga jumla magoli 7!

Klabu ya Wolves ipo mbioni kufanya marekebisho makubwa katika kikosi chake cha kwanza na kumuuza Doherty ili wapate pesa za kutosha kusajili wachezaji wengine ni sehemu ya mpango huo. Wolves, waliomaliza nafasi ya saba katika misimu miwili mfululizo ya Ligi Kuu ya Uingereza wanataka kuona wanafika mbali zaidi msimu ujao wa 2020/21.

Klabu hiyo pia ipo katika mazungumzo na Arsenal kuona kama kutakua na uwezekano wa kumpata Ainsley Maitland-Niles ikiwa dili la Doherty kwenda Tottenham litatimia.


 

Beti Mbio za Mbwa Mubashara

Hii ni rahisi zaidi! Hapa USHINDI unaupata kwa kuchagua mbwa anayeshinda mbio na machaguo mengine yenye odds tamu.

Cheza Hapa

46 Komentara

    Habari njema

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Jose Mourinho amevutiwa na kiwango cha beki huyo kwa misimu ya hivi karibuni hivyo basi yupo tayari kumtumia kama mbadala wa Serge Aurier katika safu ya ulinzi ya vigogo hao

    Jibu

    Flomena acha kucopy na kupaste kama ilivyotuma na mwandishi wetu

    Jibu

    kocha wa spurs naona anamuhitaji mchezaji huyo kwa sababu ya juhudi zake

    Jibu

    Pigo kubwa sana kwa Wolves kuondoka kwa Doherty lakini ni changamoto nzuri kwa Doherty katika maisha yake ya soka kutua timu kubwa kama Spurs.

    Jibu

    Habari njema#Meridianbettz

    Jibu

    Asante kwa makala

    Jibu

    Ukiona mchezaji anaitajika timu nyingine jua alifanya juhudi na kujituma awapo uwanjan na ndoman kocha anawiitaji dehertly!!

    Jibu

    Asante kwataarifa

    Jibu

    Mashabiki tunashukuru kwa taarifa nzuri.@meridianbettz

    Jibu

    Itakuwa poa sanaaa akitua hapo doherty

    Jibu

    Ha ha ha pesa madafu

    Jibu

    Habari njema kwa mashabiki wa Tottenham maana Matt yupo fiti uwanjani

    Jibu

    Habari nzuri kwa sisi mashabiki wa Tottenham yupo vizuri jamaha huyo

    Jibu

    Matt namkubali sana#meridianbettz

    Jibu

    Eeeeh bwanae nimeikubali habari mzuri

    Jibu

    Wolves wajipange kuziba pengo lake Doherty

    Jibu

    Kila la kheri deal hlo Kama litakuwah done spurs and wolves

    Jibu

    Habari njema sana #meridianbet

    Jibu

    Pengo lisilozibika kwa Wolves kuondokewa na jembe

    Jibu

    Pesa ndo kila kitu.

    Jibu

    Tottenham wanajipanga na wao maana msimu ulioisha walikua hovyo sana

    Jibu

    Matt Doherty bonge la mchezaji yuko vzur sana

    Jibu

    Pesa ndio kila kitu

    Jibu

    Kocha Mourinho ndie aliyebadili mfumo wa kutafuta mafanikio ya timu kutoka kwenye kukuza wachezaji kwenye academy na kufundisha hadi kununua wachezaji wazuri na kupata mafanikio. Kabla ya kuja Mourinho kulikuwa na wachezaji mahiri na wenye ari kwasasa inaonekana kama tottenham hakukuwa na wachezaji wa kufaa#meridianbettz

    Jibu

    Jose morinho hayuko nyuma nae kwa kukijenga kikosi cha spurs kwa msimu ujao.

    Jibu

    Nice spurs

    Jibu

    Utakua usajir mzur

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Aende tu.

    Jibu

    Hela ndo mambo yote

    Jibu

    Tottenham watamtwaa huyu mtu tu

    Jibu

    Asante kwataharifa

    Jibu

    Tottenham sasa wajipange msimu ujao

    Jibu

    pesa ndo kila kitu

    Jibu

    Totenham wamefany poa

    Jibu

    Hakuna mkate mgumu mbele ya chai!!!

    Jibu

    Kocha Jose anajua kuchagua sana wachezaji wa kuweza kukava sehemu anazotaka

    Jibu

    habari njema

    Jibu

    Good newz

    Jibu

    Matt yuko vizuri

    Jibu

    Mourihno ni kocha mzuri sana ila ndio ivyo tena hanakua hana busara kwa wachezaji yani ni mtu wa kuamua na sio humuamulie wewe subiri tuone hatima yake pale totteniaham

    Jibu

    Mbona pesa nyingi na huyu uwezo ni mdogo sana

    Jibu

    Jose Mourinho amevutiwa na kiwango cha beki huyo kwa misimu ya hivi karibuni hivyo basi yupo tayari kumtumia kama mbadala wa Serge Aurier katika safu ya ulinzi ya vigogo hao

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.